Wakuu habari,
Nimelima viazi na kufanikiwa kupata milioni 10. Nafikiria kuanzisha biashara hivyo naomba ushauri wenu, upande wa kilimo soko halitabiriki ndio maana nawaza kufanya jambo lingine.
Naishi Mafinga mjini.
Salamu Wakuu ...
Naomba kujua mwenye uzoefu wa Toyota Kluger
-Utumiaji mafuta km/lita
-Uimara wake
-Comfortability
-Upatikanaji Spare parts
-Na matatizo yake kwa ujumla
Natanguliza shukrani..
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.