2019 Africa Cup of Nations Special Thread

2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Africa kweli tumelogwa. Na aliyetuloga kafa. Yaani kabla fainali za Afcon2019 hazijaisha tayari CAF wametoa ratiba ya kufuzu kwa Afcon2021! Makundi ni kama unavyoona hapa chini....
Screenshot_20190718-225941_All%20Football.jpeg
 
Wakuu huyu mwali (Ubingwa Afcon 2019) ataenda nchi gani? Kumbukeni harusi leo ila waoaji wamejitokeza wawili (Algeria & Senegal) nani anabeba jiko? Utabiri wenu muhimu ili wengine tubeti 😂😂😂
 
Hadi hapa napenda kuchukua fursa ya kujipongeza mwenyewe kwa mkeka huu ulivyotiki barabara.

Mkeka wa lala salama utakuwa namna hii.

1. Bingwa AFCON 2019 - Algeria (Timu iliyofungwa magoli 2 hadi sasa ndani ya dk 90)
2. Mshindi wa Pili - Senegal
3. Mshindi wa Tatu - Nigeria
4. Mshindi wa Nne - Tunisia.

View attachment 1153845
Nakagua mkeka wangu
 
Naskia tizedi imefika fainali

Ndo nmewasha simu leo

Hongereni sana wakuu


Hivi simba washamchukua pogba , nliacha ipo hot sana hiyo ishu kabla sijafa
 
Back
Top Bottom