Mkuu mkeka ushatiki kwenye nafasi ya 3, tusubiri kesho tumalizie kazi.
Tukutane hapa hapa hiyo keshoKesho Senegal anabeba ndoo
Wakuu huyu mwali (Ubingwa Afcon 2019) ataenda nchi gani?
Saa 4Mechi saa ngapi?
Mpe Algeria double chanceWakuu huyu mwali (Ubingwa Afcon 2019) ataenda nchi gani? Kumbukeni harusi leo ila waoaji wamejitokeza wawili (Algeria & Senegal) nani anabeba jiko? Utabiri wenu muhimu ili wengine tubeti![]()
Kwa wale tulokuwa mbali na TV zetu, tunaweza kupata link ya Livestream au App ya android ninayoweza download ili niangalie hii fainali?Saa 4
Nakagua mkeka wanguHadi hapa napenda kuchukua fursa ya kujipongeza mwenyewe kwa mkeka huu ulivyotiki barabara.
Mkeka wa lala salama utakuwa namna hii.
1. Bingwa AFCON 2019 - Algeria (Timu iliyofungwa magoli 2 hadi sasa ndani ya dk 90)
2. Mshindi wa Pili - Senegal
3. Mshindi wa Tatu - Nigeria
4. Mshindi wa Nne - Tunisia.
View attachment 1153845
Yap jaribu Burma tvKwa wale tulokuwa mbali na TV zetu, tunaweza kupata link ya Livestream au App ya android ninayoweza download ili niangalie hii fainali?
Msaada wenu tafadhali.
Under 1.5.Wakuu huyu mwali (Ubingwa Afcon 2019) ataenda nchi gani? Kumbukeni harusi leo ila waoaji wamejitokeza wawili (Algeria & Senegal) nani anabeba jiko? Utabiri wenu muhimu ili wengine tubeti![]()
HT. 0:0Both team will score....