kuchepuka n kwawote wasiojielewa haijalish wakike au kiume labda la maana heshma mwenzio asijue ila unapokua na kiherehere ndo ukubaliane na unachokiona
wanajamii naomben kufaham kitu nna tatzo la maskio tangu mdogo n karbu miaka ishrn sasa lakin hv karbun tatizo limeanza kuongezeka siku hadi siku nmeenda hospital nmepewa dawa lakn haijasaidia ila wameniambia nitapatiwa barua niende muhmbil sasa naomba kufahamu garama za muhimbil zpo vp na na je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.