Recent content by aikaruwa1983

  1. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Kichwa kutoa mfereji kwa mtoto

    amini.....ila hawa watoto wanakuwa na akili sana baadae....
  2. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Kichwa kutoa mfereji kwa mtoto

    kisayansi sijui ila uswazi wanasema tiba ni baada ya show unamchora msalaba dogo kwenye kichwa ukitumia dudu bila kulifuta
  3. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania TANZIA Bilionea Tanil Somaiya wa Shivacom afariki dunia

    na hilo shati pembeni kama la ndugu "amirika spiriti"
  4. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Nahitaji tiba ya mtu aliyepooza na uvimbe kwenye ubongo

    nakupata wapi dr....mimi niko dar huna ofisi dar unipe ramani nije
  5. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Nahitaji tiba ya mtu aliyepooza na uvimbe kwenye ubongo

    dr mzee wangu 75yrs kapata stroke ila imegusa ubongo tu kulingana na kipimo cha MRI... ni mwaka 4 sasa amechanganyikiwa na wasiwasi wa kutosha....tunampa dawa za bp. vp kwako itapatikana dawa...
  6. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva wa bodaboda

    muhimu leseni yako iwe na A, A1
  7. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Je, kuna somo ambalo hutakuja kulisahau kwa jinsi lilivyokutoa jasho?

    "MAGNA CARTA" wengine tumesoma kwa raha
  8. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Pikipiki gani ya kichina ni nzuri kati ya hizi?

    haujue sinoray ishi umo kaka
  9. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa SAD song or EMOTIONAL songs tukutane hapa

    Non- franco luambo
  10. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa SAD song or EMOTIONAL songs tukutane hapa

    nathalie- jullio iglesias thank you - dido indege- inafrica band long long journey -- enya
  11. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

    Huna haja ya kutukana mkuu..... nikwambie tu kwa uwezo wa Jeshi letu kama Mbowe kajiumiza mwenyewe dakika sifuri wangekuwa washamkamata (nisichowapendea polisi wetu huwa hawana siri).....AMINI.......
  12. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Nini lengo la VTS na kwanini isiwe speed governor?

    anabisha tu kipannde cha ubena mpaka mikese speed 100 kidogo tena chuma haitembei kivile zaidi ya ving"ora tu......
  13. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Tembelea hifadhi ya Mikumi kwa gharama nafuu

    kamanda unaweza ukawa na taarifa za gharama kutoka arusha kwenda ngorongoro kukaa siiku mbili kama ulivyodadavua kwa mbuga ya mikumi.....
  14. aikaruwa1983

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti gani kati ya kaptura, bukta na pensi?

    na pensi nyanya ni kwa wanawake tu
Back
Top Bottom