Recent content by Ahmad Nasibu

  1. Ahmad Nasibu

    Uchoyo sio jadi yangu

    Saa 11 na dakika zake ndipo unatafutwa 'uzi mweupe' ili muda wa daku umekwisha. Hizi daku za sita usiku hizi unaweza kuziona ngazi kama zinakurudisha nyuma😩:tiredCat:
  2. Ahmad Nasibu

    GE2020 Hivi mgombea wa CCM atafikisha hata 40% ya kura kweli?

    Mgombea wa kupata zaidi hata ya 60% #NiYeye Akili yake inavyomtuma haimkoseshi kura hata kidogo. Kuonewa huruma kunaweza kuongeza kura zake, we acha hiyana. Ndio siasa zilivyo. Yaani hizi sera zote anazonadi hadi kufikia kunakiliwa na chama tawala zote hujaziona!? Uadui ukizidi mwezi utausema...
  3. Ahmad Nasibu

    GE2020 Hivi mgombea wa CCM atafikisha hata 40% ya kura kweli?

    Kwa hiyo kura zitakuwa jumla asilimia 112 (112%)... Khaaa. Acha undakindaki uliopitiliza namna hiyo.
  4. Ahmad Nasibu

    Kwanini maneno yasiyotamkwa mbele ya kadamnasi ya watu wameamua kuyaweka katika kamusi ya Kiswahili sanifu? What's the logic behind this?

    Ni kazi ya kamusi hasa. Hiyo kwamba utayatumia ama la ni juu ya watumiaji. Miongoni mwa sifa muhimu ya lugha ni kukua, basi kila yanapokuja maneno mapya na kukubaliwa kimatumizi ktk jamii huwekwa rasmi pia katika KAMUSI. Kamusi za Lugha ya Kiingereza zina baadhi ya maneno mengine yameandikwa...
  5. Ahmad Nasibu

    Kwanini maneno yasiyotamkwa mbele ya kadamnasi ya watu wameamua kuyaweka katika kamusi ya Kiswahili sanifu? What's the logic behind this?

    Hapa alibofoa mkuu Infantry Soldier Hili ni kosa la kiufundi kadamnasi ya watu badala ya kadamnasi. Kiswahili lugha yetu[emoji1488][emoji1488]
  6. Ahmad Nasibu

    ANDIKA “YES”

    Kabisaaa[emoji108][emoji1787][emoji1787]
  7. Ahmad Nasibu

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Naomba mnisaidie kupata wimbo ule wa UKIMWI alioimba Kapteni Komba. Kwenye ile nyimbo kuna akina dada wanaitikia. Na sehemu nyingine Komba anaimba makaburini.
  8. Ahmad Nasibu

    Juice ya tende na maziwa

    Naam, yanakuwa yameingiliana vyema hata yale maziwa pekee yanakuwa na ladha ya tende tupu!
  9. Ahmad Nasibu

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Bei chee kabisaaa... eti ths 7,000/= sasa
  10. Ahmad Nasibu

    'Juice' kwa Kiswahili inaitwaje

    SHARUBATI
  11. Ahmad Nasibu

    Natafuta Tecno PhonePad 3 KWA UDI NA UVUMBA

    NITAJARIBU ZALI LANGU. Lakini hii inamaanisha wana ukumbi pia hawana isipokuwa msaada wa mawazo.. Nashukuru wakuu
  12. Ahmad Nasibu

    Natafuta Tecno PhonePad 3 KWA UDI NA UVUMBA

    Umefikiria vibaya. Nimetafuta kwa "udi na uvumba" lakini sikuuchoma. Nimeubwia... Lakini wapi...! Kariakoo yote peupeee... "online markets" zetu hwana hii kitu, wao Samsung tu
  13. Ahmad Nasibu

    Natafuta Tecno PhonePad 3 KWA UDI NA UVUMBA

    Hebu nidodose hiyo unayoifahamu wewe mkuu! Kwani hii nimeifanyia mlinganisho na nyinginezo kadhaa hadi kupata muafaka huu...
  14. Ahmad Nasibu

    Natafuta Tecno PhonePad 3 KWA UDI NA UVUMBA

    Wadau mbona kimya? Hata wauzaji maarufu jamani mpo ziii? Dah! Nina shida na hii kitu bado...
  15. Ahmad Nasibu

    Ngoma za mashetani

    Umezijuaje kama zinaitwa za Mashetani? Au umeshazipa jina tayari mkuu? Kwa ufupi ngoma na vinanvyohusiana navyo ni matawi ya shetani. Sasa kuanzia hapo kama unataka kujua umuhimu wake itakuwa unahitaji licha ya UHASI wake (negativity).
Back
Top Bottom