Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #21
Asante kwa kunisahihisha
Asante kwa kunisahihisha
Umewaza nini tena kijana wangu?Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;....
sawa...Labda kwa kuanza kwanza tujue maana ya kamusi,
Tatizo maneno yenyewe yapo ndani ya kamusi ya Kiswahili sanifu.Kwanini kiswahili kina mandno mabaya ya sehemu za uzazi?
Utafiti umefanyika Rais Magufuli atashinda kwa 98% Miaka mitano tu Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Magufuli atatufanya tuwe kama Qatar.Swali zuri sana baba lao. Ngoja wataalam wa lugha husika waje
CCM oyeeeeee. Wakuu hizi maktaba alizojenga Rais Magufuli viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.Asante kwa kunisahihisha
Kwa hiyo mimi ni kichaa ninajiuliza mwenyewe? Au sio mkuu?...Mbona JIBU umeandika mwenyewe kwenye heading?
Rais Magufuli amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.Tatizo maneno yenyewe yapo ndani ya kamusi ya Kiswahili sanifu.
Hapa alibofoa mkuu Infantry Soldier
Sawa kaka mkubwa. Asante kwa kunisahihisha.Hapa alibofoa mkuu Infantry Soldier
Hili ni kosa la kiufundi kadamnasi ya watu badala ya kadamnasi.
Kiswahili lugha yetu
Nikiyaweka Mods watanipiga BAN na huu ndio msingi mkuu wa swali langu.Hebu wewe mwenyewe anza kwa kuyaweka hayo maneno matatu uliyopigia mstari kwenye heading ya uzi wako.
Tusi ni matumizi mabaya ya kauli au neno. Neno laweza kuwa tusi kwa mtu A na lisiwe tusi kwa mtu B kutegemeana na muktadha wa mazungumzo. Mimi ni mweusi lakini kuna mazingira ya kuzungumzia weusi wangu kutafanya lionekane ni tusi ama la!.
Magufuli anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa.Sawa kaka mkubwa. Asante kwa kunisahihisha.
Lusinde: Mimi nilikuwa na Lissu Bungeni, hajawahi zungumzia maendeleo ni malalamiko tu na ndiyo maana nilikuwa namuita Malalamiko FC.Hayo maneno yanafanya nini katika kamusi ya Kiswahili sanifu?