Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,937
😹😹😹 Hakuna amani ni mwendo wa kurusha missile tu..!!
😹😹😹 Hakuna amani ni mwendo wa kurusha missile tu..!!
Saa 11 na dakika zake ndipo unatafutwa 'uzi mweupe' ili muda wa daku umekwisha.Karibuni daku huu ndioda wake ukila saa kumi au kumi na moja ni sawa kuwa ujafunga maana siku mpya ina kuwa ishaanza
View attachment 3551365

Kumbe na wewe umeona
Siyo kuona tu, nimelia sana.Kumbe na wewe umeona
Unafikiri solution ni nini sasaSiyo kuona tu, nimelia sana.
Ni kuwapiga kwa damu ya yesu wahuni wote.Unafikiri solution ni nini sasa
Nani awapige sasaNi kuwapiga kwa damu ya yesu wahuni wote.
Mlokole Seren.Nani awapige sasa
Huyo umejuaje kama mlokole au unachati nae PM?Mlokole Seren.
Yeye ni Set free. Amekuja kwa mtindo huru.Huyo umejuaje kama mlokole au unachati nae PM?
Maana hajawahi hata kuandika chochote humu
AlaYeye ni Set free. Amekuja kwa mtindo huru.
Shtuka 😎.
Wewe unaonekana unaijua kila ID na mmiliki wake🤣Shtuka 😎.
Umenena vyema.Wewe unaonekana unaijua kila ID na mmiliki wake🤣
Unamjua mmiliki wa hii ID yanguUmenena vyema.
Yeah, ila sitamtaja.Unamjua mmiliki wa hii ID yangu
😄😁😃Unamjua mmiliki wa hii ID yangu
Hapa sio powa bora kuwa mvumilivu hadi mida hiyo sema mida hiyo unapiga tende na vitu vyepesi vyepesi hiviSaa 11 na dakika zake ndipo unatafutwa 'uzi mweupe' ili muda wa daku umekwisha.
Hizi daku za sita usiku hizi unaweza kuziona ngazi kama zinakurudisha nyuma😩![]()
Mmiliki wa hii ID anatukanana kila siku na secretarybird ni maadui kichizi