Ndugu Jubilant Nyumba yangu ina vyumba vitatu vya kulala, sitting na dining, jiko na small library. Sina mpango wa kutumia AC ila wearing ninayoifanya nataka iwe ile itakayoweza kuja kuhimili matumizi ya vitu kama friza kubwa, desktop comp, laptop, Tv tatu, pasi na jiko la umeme. Taa nataraji...