Recent content by agika

  1. A

    JamiiForums Tanzania Je ni uoga tu au kuna la zaidi?

    am tryin 2 digest ur theory of being a play boy en the point of u being mo careful.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Je ni uoga tu au kuna la zaidi?

    mwe!!:confused:
  3. A

    JamiiForums Tanzania Ndoa za siku hizi

    Geof , that is ur mentality en no body can change that other than urself, Ila nikirudi kwenye mada Kaka Kilambi yuko sahihi baadhi ya maeneo na maeneo mengine anahitaji kusahihishwa kama alivyotanguliza kusema yeye mwenyewe. maeneo ambayo mie nadhani yuko sahihi pale mama mwenye nyumba...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Tulikosea kumchagua JK 2005, tungemchagua nani?

    acheni kushabikia msiyoyajua jamaniiiii mmeshakaa nchi zinazotawaliwa na jeshi nyie au mnaleta unazi? aka ka uhuru uliko nako sasa hivi katakuwa adimu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Tulikosea kumchagua JK 2005, tungemchagua nani?

    kwangu simuoni yeyote ambaye asingechemsha , nilikuwa namwamini mbowe lakini kwa haya yaliyotokea juzi kwenye uchaguzi mkuu wa chadema kanitia mashaka zaidi. hiyo CUF ndo haiko kabisa kwenye akili yangu maana huyo lipumba na mwenzie wamenichosha hata kuwaangalia kwenye Tv. na wote hawa makelele...
  6. A

    JamiiForums Tanzania This information needs to be shared!

    Duh asante mkuu, nilikuwa sijui hiiiiii, Mungu mkubwa huwa natumia cattle kuchemsha chai
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nani anatakiwa abadilike mimi au mke wangu?

    hahhahahahhahahaaaaaa tena hujawahi ona , labda tofauti yao ni kwamba wambea wa classic saloon wanapiga umbea wa 'Bossip' but celebrities wa kibongo, miss nani kafanya nini, marketing manager wa kampuni flani anatoka na demu flani, beyonce inasemekana anamcheat 'camel' na jamaa gani. lakini all...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda kupitia forum hii

    hahahhahahaahahahaaaaaaaaaaaaaa yaani umenichekeshesha hapoo FL ile mbaya hivi hujajuaaa humu kuna kila aina ya ubongo? usijali waache wao watanie lakini wako wa ubani anajua unachomaanisha, nimeipenda style yako ya kusema nakupenda kwa mumeo.Hongera
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mpoki a.k.a Bepari la kihaya

    watu bwanaaa majina hayohayo yakitajwa kwenye nyimbo za twanga pepeta,FM academia,Akudo Impact............ tunazichekelea na kuzifatisha kuimba huku tukitoka jasho kulicheza sebene , lakini akitaja mpokiii oooooh naboreka ................... acheni chuki binafsi, au mkuuu ndo wale kundi la akina...
  10. A

    JamiiForums Tanzania Women: When is it OK to go braless?

    mhhh shost ukilipata kundi lako usiweke hadharaniii maana akina fidel wasije wakakung'ang'ania kama ruba
  11. A

    JamiiForums Tanzania Women: When is it OK to go braless?

    Uwwwiiiiiiiiiiiiiiiiii , jamani napiga ukunga, mods nisameheni ila kwani wanaume wa JF hawa.......? ila nawe mdakuuuu , unakaanga mbuyu tu uwachieee.............................
  12. A

    JamiiForums Tanzania Women: When is it OK to go braless?

    Well kwangu mie naona inategemeana na maumbile ya mtu binafsi, unajua kuna watu wengine wameumbwa na maziwa makubwa sasa hawa wa aina hiii wengi wao huwa wanaona kama wameonewa tangu usichanani huwa wanajaribu sana kuyaficha kuna wengine huwa wanapata kibyongo cha kujipa wenyewe kisa wanajaribu...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Women: When is it OK to go braless?

    heheheheeeeee kaaazi kwelikweli na sie wenye kandambili za Hashim Thabit? tusemeje nyamayao
  14. A

    JamiiForums Tanzania Je ni nani Mzalendo wa kweli: Zitto, Pinda, JK au Lipumba?

    kaka mbona sijamuona kwenye list Mh. Mbowe? au huoni kama anastahili kuwa kwenye list ya wanaodhaniwa wazalendo?
  15. A

    JamiiForums Tanzania Women: When is it OK to go braless?

    hahahha kweli kaizer leo umeamkia ufukweni,............tena nadhani ukaona wanawake wanogelea bila nguo kifuani duh! kesho ntakwambia ninavyofeel ngoja niwahi kunyonyesha
Back
Top Bottom