kaka mbona sijamuona kwenye list Mh. Mbowe? au huoni kama anastahili kuwa kwenye list ya wanaodhaniwa wazalendo?Kwa karibu siku kadhaa sasa nilikuwa najiuliza maswali kwamba labda Tanzania tupate kiongozi aliye mzalendo wa kweli mwenye hulka za kijamaa kidogo.. Lakini katika mawazo yangu nimekuwa najiuliza kuwa Tanzania tumeingia kwenye mfumo wa Soko huria bila kufuata misingi yake.
Kwa Kipindi cha miaka 20 iliyopita Tanzania tumekuwa tunafuata Free market na demokrasia ya vyama vingi, lakini katika kipindi hicho tumeshuhudia Taifa Letu likigeuzwa kuwa sehemu ya watu wachache na wageni kufaidi zaidi kuliko wengine na wananchi wa Tanzania, Je katika hatua tuliyofikia ni nani aliye mzalendo wa kweli na wa kupenda Taifa lake yaani mwenye mawazo ya uzalendo Zaidi Je ni Mheshimiwa Zitto Dr Slaa, au Pinda, Rais wetu Kikwete Je ni nani ambaye tunaweza kufuata mawazo yake??
Naweza kusema kuwa Mzee MWanakijii ndiye mzalendo wa kweli na yeye anapigana akiwa karibu na mbali sana. I know it man kuwa Dr.Slaa na wanachama wote wa Chadema???
Mawazo yao ni yepi hayo? Yana tofauti gani? Yabainishe tufanye uamuzi/uchaguzi sahihi!
MWanakijiji ndiye mzalendo wa kweli katika Tanzania, Natambua mchngo wake na katika harakati zake, Mungu Mbariki Babu yangu MWanakijijiNdy mkuu, tupe hayo mawazo yao ili tuchanganue mada.
Kwa karibu siku kadhaa sasa nilikuwa najiuliza maswali kwamba labda Tanzania tupate kiongozi aliye mzalendo wa kweli mwenye hulka za kijamaa kidogo.. Lakini katika mawazo yangu nimekuwa najiuliza kuwa Tanzania tumeingia kwenye mfumo wa Soko huria bila kufuata misingi yake.
Kwa Kipindi cha miaka 20 iliyopita Tanzania tumekuwa tunafuata Free market na demokrasia ya vyama vingi, lakini katika kipindi hicho tumeshuhudia Taifa Letu likigeuzwa kuwa sehemu ya watu wachache na wageni kufaidi zaidi kuliko wengine na wananchi wa Tanzania, Je katika hatua tuliyofikia ni nani aliye mzalendo wa kweli na wa kupenda Taifa lake yaani mwenye mawazo ya uzalendo Zaidi Je ni Mheshimiwa Zitto Dr Slaa, au Pinda, Rais wetu Kikwete Je ni nani ambaye tunaweza kufuata mawazo yake??
Siyo kweli hata siku moja.. nani ataleta fujo??jaribu kupitia vyama tawala mara zote huwa wanaleta fujo baada ya kushindwaHakuna mzalendo hata mmoja hapo,si Zitto,Pinda au Slaa.They are all opportunists and powerhungry folks wanaotumiwa na nchi za magharibi kwa maslahi yao.Don't be cheated!Wengine hata wako kwenye payrol za maadui zetu.Wanachofanya Dr.Slaa,akina Zitto usidhani ni anything exteremely useful,sio,it's designed kulela fujo na hatimaye kutuingiza katika matatizo ya kuuana wenyewe kwa wenyewe.Walio hamasisha ufisadi ndio hao hao sasa wanao fund vita ya ufisadi kwa kutumia agents wao.Difficult to understand,but it's true!
Siyo kweli hata siku moja.. nani ataleta fujo??jaribu kupitia vyama tawala mara zote huwa wanaleta fujo baada ya kushindwa