....leo sijui nimeamkia wapi
Na kweli sijui uliamkia wapi.
....leo sijui nimeamkia wapi
........ Dada yangu hapo ndo unaponifurahishaga.......... ukweli na uwazi lol
Kina Mbu wanadai ni chakula ya watoto tu!!
mi naona bra sio lazima saa zote bwana kuna wakati unaweka tu vile vibandiko kwenye hizo ninihii.. wenyewe wanaita nipple covers...unalamba pamba yako..unakamata mkono wa Mr mnaenda zenu out!
heheheheeeeee kaaazi kwelikweli na sie wenye kandambili za Hashim Thabit? tusemeje nyamayaohayo niliyackia kabla cjawa binti, nilizoeshwa kuanzia usichanani, na mpaka leo hayajaanguka kihivyo japo wanayatumia baba na watoto wake.
yote sawa tu! BUT i would say the imagination that the chick is without it is mmmh!especially kama hayaonekani kuanguka na kama chuchu kwa mbali zinaonekana kutoboa.....ayaaaa mashallaaah!!
heheheheeeeee kaaazi kwelikweli na sie wenye kandambili za Hashim Thabit? tusemeje nyamayao
Of course zamani haikuwepo, lakini hapa tuangalie zaidi wakati tulio nao,,..ya zamani yamepita kitambo!
kwa wale wanaokwenda kwa mwendo wa braless...huwa wanalionaje hilo na wanajisikiaje tofauti na wakivaa?
kwangu mimi naona wakati mwingine ni sexy kama alivosema mkuu Chrispin hapo juu..kuivua kabla ya majamboz inaleta 'mhemko' flani hivi,
Lakini kwa upande mwingine imaginations....za kwamba mtu hajavaa.....
ucwanyime haki yako coz ni kandambili, mie nawapa kwa kujinafac, wacha yawe ndala kabisa.....lol...
Pedofil
hizo ch**ch**zinapatiwa vibandiko tu mchezp kwisha...haina maana kwamba pasivaliwa bra basi mtu ndio utembee na mikuki kifuani kama vile umeambiwa huko uendako kuna Osama...
Ngoja wataalamu wakusikie...sasa kuna wale waliojaaliwa ziwa lililosimama mwanzo mwisho , hawa hata wanyonyeshe mapacha wanane na wanaumme wote wa JF bado watabaki saaa sita yamesimama. so hawa mara nyingi wana confidence na hasa kwenye mitoko ya jioni huwa wanajiachia zaidi , na hiyo cleavage ndo usiulize maana ni full kujiachia. kuhusu wapenzi wao ndo huwa wanafanya makusudi na hassa wakijua ndo ugonjwa wa wapenzi wao basi sidiria inakuwa haina nafasi kiviiiiileeee
Well kwangu mie naona inategemeana na maumbile ya mtu binafsi, unajua kuna watu wengine wameumbwa na maziwa makubwa sasa hawa wa aina hiii wengi wao huwa wanaona kama wameonewa tangu usichanani huwa wanajaribu sana kuyaficha kuna wengine huwa wanapata kibyongo cha kujipa wenyewe kisa wanajaribu kuinama kuficha maziwa, so mtu kama huyu hata siku moja hawezi kutembea bila sidiria kwanza hana confidence hata akiwa na mpenzi wake ndani sembuse kaizer akayaone barabarani?
kuna kundi la pili ambao wao wana maziwa madogo ambayo asipovaa sidiria Zenye vibandiko vya ziada hana tofauti na fidel, nao hawa huwa hawajiamini hata mbele ya wapenzi wao coz i hav seen one,huwa wanaomba Mungu angewapa maziwa makubwa, so na hawa nao hawawezi kutoka braless coz wanajisikia na mapungufu flani mwilini.
Pia kuna kundi lingine wana maziwa ya kiasi lakini yamelala kama ndala za nyamayao , hawa nao huwa hawataki kuonekana wako nyuma wanataka waonekana na wao ni yamesimama saa sita, kwahiyo the only way is kupiga jeki babu ili nao waonekane wana cleavage mhhhh!!!
sasa kuna wale waliojaaliwa ziwa lililosimama mwanzo mwisho , hawa hata wanyonyeshe mapacha wanane na wanaumme wote wa JF bado watabaki saaa sita yamesimama. so hawa mara nyingi wana confidence na hasa kwenye mitoko ya jioni huwa wanajiachia zaidi , na hiyo cleavage ndo usiulize maana ni full kujiachia. kuhusu wapenzi wao ndo huwa wanafanya makusudi na hassa wakijua ndo ugonjwa wa wapenzi wao basi sidiria inakuwa haina nafasi kiviiiiileeee
Ngoja wataalamu wakusikie...
Well kwangu mie naona inategemeana na maumbile ya mtu binafsi,
unajua kuna watu wengine wameumbwa na maziwa makubwa sasa hawa wa aina hiii wengi wao huwa wanaona kama wameonewa tangu usichanani huwa wanajaribu sana kuyaficha kuna wengine huwa wanapata kibyongo cha kujipa wenyewe kisa wanajaribu kuinama kuficha maziwa, so mtu kama huyu hata siku moja hawezi kutembea bila sidiria kwanza hana confidence hata akiwa na mpenzi wake ndani sembuse kaizer akayaone barabarani?
kuna kundi la pili ambao wao wana maziwa madogo ambayo asipovaa sidiria Zenye vibandiko vya ziada hana tofauti na fidel, nao hawa huwa hawajiamini hata mbele ya wapenzi wao coz i hav seen one,huwa wanaomba Mungu angewapa maziwa makubwa, so na hawa nao hawawezi kutoka braless coz wanajisikia na mapungufu flani mwilini.
Pia kuna kundi lingine wana maziwa ya kiasi lakini yamelala kama ndala za nyamayao , hawa nao huwa hawataki kuonekana wako nyuma wanataka waonekana na wao ni yamesimama saa sita, kwahiyo the only way is kupiga jeki babu ili nao waonekane wana cleavage mhhhh!!!
sasa kuna wale waliojaaliwa ziwa lililosimama mwanzo mwisho , hawa hata wanyonyeshe mapacha wanane na wanaumme wote wa JF bado watabaki saaa sita yamesimama. so hawa mara nyingi wana confidence na hasa kwenye mitoko ya jioni huwa wanajiachia zaidi , na hiyo cleavage ndo usiulize maana ni full kujiachia. kuhusu wapenzi wao ndo huwa wanafanya makusudi na hassa wakijua ndo ugonjwa wa wapenzi wao basi sidiria inakuwa haina nafasi kiviiiiileeee
Duh kweli subira huvuta heri, nimekusoma agika.ungenidanganya ungekoma....
Kumbe sasa inategemeana na mwonekano wa mtu, I mean kumbe zinavaliwa zaidi kutokana na maumbile na SIO jinsi maadili yetu yanavotuongoza kuwa ni vema/si vema kwa mwanamke kuvaa bra....
maana kutokana na maelzeo ya wengine, kwena braless hata kama ana viduuchu bado anajisikia uchi..but hapa mtazamo mwingine ni kuwa mtu anakuwa hana confidence mbele ya mpenzi wake,
Huku wale wenye yamesimama huwa wana confidence na hata kufanya MAKUSUDI kututega....?
Uwwwiiiiiiiiiiiiiiiiii , jamani napiga ukunga, mods nisameheni ila kwani wanaume wa JF hawa.......?Ngoja wataalamu wakusikie...