Hata mie kaka nimeshanga nikadhani umeibiwa password!
Me am not the right candidate maana ah mashallaw nimejaaliwa kifua so cant go without it!!😉
MwanajamiiOne
Mashallah! Umejaliwa kifua?
Kwa upande wangu, mwanamke mwenye kifua ndiye nitakayemtazama, asiyenacho wala simwoni, namwona "mtoto" tu.
So, MwanajamiiOne, ungepita mbele yangu, nitake nisitake, ningekusemesha tu!
LOL
./Mwana wa Haki
labda niongezee kwa upande wa wanaume:
Do you find braless women sexy or not sexy compared to 'unexposed' boobs? What are the limits kwa upande wetu kibongo bongo?
nakaribisha maoni....leo sijui nimeamkia wapi
Ohoo,,,i see thanks Shishi...kumbe sasa zina kazi zaidi ya kufunika tu....now wonder...
Labda ni kama vile mwanaume anavyofeel akitembea bila chu**
Shishi leo umeamkia upande upi? mwanaume kutembea bila nanihino mbona itakuwa balaa akiona kitu kisichokuwa na bra? Lol!
Shishi leo umeamkia upande upi? mwanaume kutembea bila nanihino mbona itakuwa balaa akiona kitu kisichokuwa na bra? Lol!
ahahahahhah!!! its all in the mind. mbona nyie mkitembea bila nanii si tumo tu!
Natamani ningechangia, bahati mbaya navutiwa na (mwanamke) manywele na Reception, ikifuatiwa na maumbile kuanzia nyongani mpaka vidoleni (miguuni)...
hapo kifuani nimewaachia watoto na chakula chao!
hahahha kweli kaizer leo umeamkia ufukweni,............tena nadhani ukaona wanawake wanogelea bila nguo kifuani duh! kesho ntakwambia ninavyofeel ngoja niwahi kunyonyeshahttp://shine.yahoo.com/channel/beauty/when-is-it-ok-to-go-braless-515277/
labda niongezee kwa upande wa wanaume:
Do you find braless women sexy or not sexy compared to 'unexposed' boobs? What are the limits kwa upande wetu kibongo bongo?
nakaribisha maoni....leo sijui nimeamkia wapi
Mwana Haki
How do your perceive/feel ukimwona mdada anatembea braless?
MwanajamiiOne
Mashallah! Umejaliwa kifua?
Kwa upande wangu, mwanamke mwenye kifua ndiye nitakayemtazama, asiyenacho wala simwoni, namwona "mtoto" tu.
So, MwanajamiiOne, ungepita mbele yangu, nitake nisitake, ningekusemesha tu!
LOL
./Mwana wa Haki
kweli binadamu tunatofautiana...yani mkuu dipatiment ya kifua wewe haikugusi kabisa...lol
...tena wala jicho halishtuki, nawashangaa mnaoshangazwa na 'chakula cha mtoto'.
Kwa 'Mswati' ya kawaida tu hayo.
Kama ana kifua, ntamwona mshamba (hana elimu, au hajui umuhimu wa bra, au yuko 'kazini') lakini kama hana kifua ntamwona wa kawaida, sawa sawa na binti ambaye hajabaleghe.
Kama ana kifua, hatanishawishi. Ingawa wanasema kwamba bra nyingine 'zinadanganya' kwa kuyafanya matiti 'yaliyolala' yaonekane mazuri, well, kama umejaliwa, ukiwa nyumbani kwako unaruhusiwa kuwa bila bra, ila ukitoka tu, mwanawane ukiisahau, kasheshe laweza kukupata huko njiani.
So, kwa upande wangu, aliyejaaliwa kifua kisha asivae bra .... soma hapo juu.... asojaliwa .... soma hapo juu.
Nimekujibu?
./Mwana wa Haki
Kwa Mswati....hivi wanakaaga vile vile siku zote au niaje mkuu,i mean umafanya kautafiti kujua kuwa kwenda braless ni kawada kule? manake nadhani pato la visa tu lingewatosha
Bra zinafanya matiti yaanguke upesi hasa kwa mabinti wanaochipua. Matiti wakati yakikua yakijitegemea bila kubebwa misuli huimarika na hivyo hayataanguka upesi kulinganisha na yale ambayo hayakupewa nafasi ya kujitegemea. kwa upande wa pili chuchu zina mvuto wa pekee hasa wakati wa baridi.
hayo niliyackia kabla cjawa binti, nilizoeshwa kuanzia usichanani, na mpaka leo hayajaanguka kihivyo japo wanayatumia baba na watoto wake.