mhhh shost ukilipata kundi lako usiweke hadharaniii maana akina fidel wasije wakakung'ang'ania kama rubaAksante mamii sasa ngoja nijitafute niko kundi gani.
mhhh shost ukilipata kundi lako usiweke hadharaniii maana akina fidel wasije wakakung'ang'ania kama rubaAksante mamii sasa ngoja nijitafute niko kundi gani.
Lakini mikuki ina raha yake mamii, especially unapokuwa na baba mruhusiwa vyote.
We mtoto leo umeamkia upande gani? Lol! Yakishakuwa kandambili kama kawaida yetu tunaingia mitini. Shauri yako we yatoe tu. Utajajuta kabla umri haujafika.
Poa mamie nimekuelewa ngoja nimtoe ila mi nampenda!!Kaka/Dada kimey............ shikamoo kaka/dada yangu.
Samahani naweza kukuconvince ukaondoa hiyo picha kwenye avatar yako? Samahani lakini
ila kama haiwezekani basi kaka/dada ila Mi huyo mdudu mh hapana
na achanje mbuga kabisaaaa waiii sio wa kihivyo mie.
Well kwangu mie naona inategemeana na maumbile ya mtu binafsi, unajua kuna watu wengine wameumbwa na maziwa makubwa sasa hawa wa aina hiii wengi wao huwa wanaona kama wameonewa tangu usichanani huwa wanajaribu sana kuyaficha kuna wengine huwa wanapata kibyongo cha kujipa wenyewe kisa wanajaribu kuinama kuficha maziwa, so mtu kama huyu hata siku moja hawezi kutembea bila sidiria kwanza hana confidence hata akiwa na mpenzi wake ndani sembuse kaizer akayaone barabarani?
kuna kundi la pili ambao wao wana maziwa madogo ambayo asipovaa sidiria Zenye vibandiko vya ziada hana tofauti na fidel, nao hawa huwa hawajiamini hata mbele ya wapenzi wao coz i hav seen one,huwa wanaomba Mungu angewapa maziwa makubwa, so na hawa nao hawawezi kutoka braless coz wanajisikia na mapungufu flani mwilini.
Pia kuna kundi lingine wana maziwa ya kiasi lakini yamelala kama ndala za nyamayao , hawa nao huwa hawataki kuonekana wako nyuma wanataka waonekana na wao ni yamesimama saa sita, kwahiyo the only way is kupiga jeki babu ili nao waonekane wana cleavage mhhhh!!!
sasa kuna wale waliojaaliwa ziwa lililosimama mwanzo mwisho , hawa hata wanyonyeshe mapacha wanane na wanaumme wote wa JF bado watabaki saaa sita yamesimama. so hawa mara nyingi wana confidence na hasa kwenye mitoko ya jioni huwa wanajiachia zaidi , na hiyo cleavage ndo usiulize maana ni full kujiachia. kuhusu wapenzi wao ndo huwa wanafanya makusudi na hassa wakijua ndo ugonjwa wa wapenzi wao basi sidiria inakuwa haina nafasi kiviiiiileeee
Do you real mean that. Sio mtu anatimua afu unaanza kujipendekeza umrudishe. Watakucheka watu.
Mwana Haki
How do your perceive/feel ukimwona mdada anatembea braless?
Mimi binafsi mdada akiwa na ziwa lililo firm (sio zile kandambili) wakati wa jioni, huwa anatamanisha sana akiwa braless, lakini sio mchana jua kali anakatiza Samora au usiku anaonyesha kandambili zake, aaahhh disgusting
...
Do you find braless women sexy or not sexy compared to 'unexposed' boobs? What are the limits kwa upande wetu kibongo bongo?
nakaribisha maoni....leo sijui nimeamkia wapi
agika,
maelezo yako yana ukweli kwa asilimia kubwa, nimeishawasikia akina dada wengi hawako comfortable na vifua vyao na hasa wale walio kwenye extremes (kama wana vifua vikubwa sana ama vidogo sana).
nina maswali kidogo kwa wana jukwaa la mahusiano na mapenzi, maswali yametokana na mada ya Mh. Kaizer kuhusu bra na hatimaye likaja swala la size + shape ya vifua:
... inakuwaje msichana wa miaka 14/15 au 16 unakuta ziwa lilishalegea as if alishanyonyesha watoto 2 au zaidi? ni maumbile tu ama kuna kitu cha ziada?
... akina mama ambao huwa wanafika mpaka age ya 40s na bado maziwa yao yako saa sita (yako firm), ni maumbile tu ama kuna kitu cha ziada ambacho huwa wanafanya.
... nimeishasikia kwamba baadhi ya akina mama/dada huwa wanagoma kuwanyonyesha watoto wao ili maziwa yao yabaki firm (saa sita) miaka yote, kuna ukweli wowote kwenye hiyo claim?
Bra zinafanya matiti yaanguke upesi hasa kwa mabinti wanaochipua. Matiti wakati yakikua yakijitegemea bila kubebwa misuli huimarika na hivyo hayataanguka upesi kulinganisha na yale ambayo hayakupewa nafasi ya kujitegemea. kwa upande wa pili chuchu zina mvuto wa pekee hasa wakati wa baridi.
kuanguka au kutokuanguka ni suala la kimaumbile/genetic zaidi kuliko kuvaa au kutokuvaa bra.Kuna ambao wamenyonyesha watoto kadhaa na bado wako bomba.Kuna ambao hawajazaa achilia mbali kunyonyesha tayari yameshakuwa malapa!
Mungu ameumba tofautitofauti.Ila kujitunza nako kunasaidia -fanya yafuatayo kuyakinga matiti yako:
- kuyapa support pale panapohitajika - wakati wa mazoezi na shughuli zitakazoyatikisa
- kutokuyavalia khanga za kifuani,
- kulala mlalo usioyakandamiza - ukiweza lala chali
- kutokuyatumia bila mpangilio ( kina kaka na nyie akina dada nadhani mnanielewa).
Mkuu Mbu hapo juu ndo tunaita 'kutegana' (cleavage) kwa wale 'wanaojiamini', na naamini kabisa hapo akikutokea ni flirting tu anafanya.....sasa mkuu bado hapo unakuwa 'disgusted'.....
sredi za leo ,dah!kazi haziendi kabisa kwa jinsi sredi zilivyo za zamani