Nahitaji fundi wa kushona nguo za kike na kiume, mwenye uzoefu na anayeweza kumshauri mteja ashone vipi ili apendeze.
Ofisi ipo Sinza, awe ni mkazi wa Dar es salaam.
0629834522
Maisha ni mipango,kila mtu anafanya anachoona sahihi kwa wakati anaofanya.mwenzako anamiliki simu ya 1M+ wakati ww hata simu ya laki mbili huna.kwahiyo na ww tukushangae?
Aliexpress wanakupa track number, ila inategemea. Mara nyingi zile za free shipping unakuwa na track number lkn huwezi kutrack mzigo wako Umefika wapi. Zaidi ya kukwambia tu mzigo wako tumeusafirisha na meli fulani na utafika siku fulani. Tofauti na ebay, track number yao unaweza kutrack anytime.
Aliexpress vitu vyao vinavutia, lkn wanachelewa sna kudeliver mzigo. Kwa mfano mm nimeagiza smart watch tangu January hadi leo bado sijapokea mzigo. Nikiwasiliana nao wanasema nisubirie hadi 3april.
Ila ebay wako fasta sna, ndani ya wk 3 hadi 4 unakuwa ushapokea parcel yako
Hilo naungana na wewe ndugu, hata mimi hilo limenikuta na wakakataa kunihudumia. Na sielewi kitambulisho ni cha nini wakati unawapa tu documents wazihakiki kisha wakufanyie assessment ukalipe benk. Hasa yule dada mweupe mnene ndo jipu kabisa, hata Lugha yake kwa wateja sio nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.