iphone na nyumba ya kupanga

iphone na nyumba ya kupanga

SMH 🤦‍♂️
Mtoa mada hujapata tu mda wa kutumia iPhone usitunange plz!!!
 
Kujenga nyumba ni investment inayotumia pesa nyingi, maisha mengine hayawezi kusimama kisa kujenga nyumba. kuna watu wanamiliki hadi ndinga za 30mil. na wanaishi nyumba za kupanga, kila mtu ana mipango yake
Lakini nyumba siyo investment
 
Jamani maisha ni mipango tu kuna mtu anaona ni bora ajenge zen anunue gali lakini kuna mwingine ananunua gali alafu anajenga mdo mdo jamani maisha yenyewe mafupi sana kama mtu kanunua iphone ya 1 m mwache tu coz ndio furaha yake ila mimi mwenyewe nina kakiwanja kangu lakini nikipata kaela fulani nataka nivute ka vitz mana dah nimechoka kutembelea tz 11
 
Nyumba ndo kila kitu, juzi nimepata M. 20 sehemu, yote nimemalizia Nyumba yangu nyingine, HP madalali washaanza kuniletea wapangaji wa Chumba efu 80 kwa mwezi, nna vyumba vitano vyote vya master full tiles,, maisha yanaenda naila kidogokidogo sent yangu,, japo nimeizika ela
"Nyumba yangu nyingine"...!!.
 
Maisha ni mipango,kila mtu anafanya anachoona sahihi kwa wakati anaofanya.mwenzako anamiliki simu ya 1M+ wakati ww hata simu ya laki mbili huna.kwahiyo na ww tukushangae?
 
Huko ni kupangiana pesa
Kwani kwenye kuitafuta tulisaidiana!

Ova
 
Hata mimi simwelewagi mtu anayenunua gari wakati hana hata kiwanja Halaffu hapohapo anafanya kazi private company na hana biashara yoyote
Hata yeye hawezi kukuelewa kwanini humuelewi.
 
Sawa kila mtu na priorities zake but ukipewa nafasi ya kumshauri bora aanze na assets Kwanza otherwise kama anaanza na gari ambayo itamsaidia kuongeza kipato lakini sio kwaajili ya kuendea kazini
Kila mtu na priorities zake, akikuomba ushauri mshauri.
 
Maisha si kujenga nyumba, hiyo ni dhana mbofu mbofu ya waafrika - hapa duniani unaishi miaka isiyozidi 70 kama una bahati - sasa huo mjumbaa mkubwa unamjengea nani brasa??

Nyie ndiyo mnafanya maisha yenu yanakuwa magumu eti ooh najenga bwana oohh nanunua uwanja bwana - what???

Unakuta kijana ana ka mshahara ka 1m take home basi ni kujibana balaa, kula mama ntilie, kulala chumba cha 40k kwa mwezi - kisa anajenga....maisha haya unamjengea nani, fanya kazi tumia hela zako za mwezi maisha nayasonga - kama unachapa kazi hakuna mwajili atakufukuza na kama akikufukuza huwezi kosa kazi nyingine sababu upo sawa!!

Unakuka kijana eti anajenga nyumba kwa miaka 10+ muda wote huo anasaga lami mjini jua lake mvua yake - by the time anamaliza kujenga yupo 40+ akili hiyo?
Jamii forum bana,ukute ulieandika hapa kuwashauri watu wasijenge,unakaa kwenye chumba cha baba yako
 
Nyumba ndo kila kitu, juzi nimepata M. 20 sehemu, yote nimemalizia Nyumba yangu nyingine, HP madalali washaanza kuniletea wapangaji wa Chumba efu 80 kwa mwezi, nna vyumba vitano vyote vya master full tiles,, maisha yanaenda naila kidogokidogo sent yangu,, japo nimeizika ela

Unazika mi 20 ili upate elfu 80? Kama kweli akili ni nywele basi wewe una upara
 
Hiyo ni roho ya kichawi mkuu,kunawatu wanandinga za 40-100m na wamepanga sembuse simu 🤷🏾‍♂️
 
Siku hizi mada za kushambulia iPhone zimekuwa nyingi hapa jukwaani.

Huu mjadala niliuona kule twitter mida ya asubuhi, kumbe umehamishiwa na huku, basi sawa.
 
Back
Top Bottom