Ndezi kama nyinyi you are the reason trust in humanity is lostYaani mtu anaelipwa million 1 kwa mwezi namuonea huruma. Sasa huyu anaetaka kulipwa 50,000, jamani maisha hayana huruma.
Ndukiiiii![]()
![]()
![]()
Wewe ni mpumbavu sana eti kula kulàa juu yangu house girl zaidi ya hayo mambo mkui ngoja siku hakuwekee sumu.....pumbavu sana usirudie kuandika shombo zako kwa mshahara wa kunywa chaiNahitaji dada wa kazi za ndani. Kula, kulala na matibabu ya kawaida gharama kwangu. Mshahara Tsh 50000 kwa mwezi.
Mapovu ya nini?Nyie mabeki tatu wa siku hizi mna dharau sana kwa mabosi wenu hapo tu hajakuhakikishia kukuajiri,je angekuajiri ingekuaje?Wewe ni mpumbavu sana eti kula kulàa juu yangu house girl zaidi ya hayo mambo mkui ngoja siku hakuwekee sumu.....pumbavu sana usirudie kuandika shombo zako kwa mshahara wa kunywa chai
Kilichokutoa povu ni nini eti?Wewe ni mpumbavu sana eti kula kulàa juu yangu house girl zaidi ya hayo mambo mkui ngoja siku hakuwekee sumu.....pumbavu sana usirudie kuandika shombo zako kwa mshahara wa kunywa chai
Ok sorryWewe usijua matusi ulitumwa usome vingine havikuhusu mkuuu
Umaskini unampa stress mkuu,mvumilie tu.muoga wa jf nn shida! mbn huo mshahara unatosha tu ulitakaje kwan ww!atoe sh ngp ndo uridhike!mbn matusi namna hyo kwa vitu vya kawaida
Aisee watu wakiwa kama kumi hii nchi tutafika mbali sio hawa watu wanamtetea huyu jamaa eti anasema kula kulala TAJIRI ANA DHARAU HATARIKama sio single sawa, mke m moja bwana m moja wanaweza lakini sio kutangaza kula bure kulala bure hayo mezea. Na kama hamna watoto house gerl wa nini? Kumaeni wenyewe kwanza mkicheki hali ya hewa. House girl ni pale mnapozidiwa na kazi na mtunzine kama mboni ya jicho kwani yeye ni kila kitu katika maisha yenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijari chochote wewe mwenyewe haujaitwa..ACHENI KUDHARAU HOUSE GIRLNasisitiza itakukost
Mkuu shida kuleta sheet zake za kusema kula na kulala juu yake kwa hiyo anaona hivyo ni vitu vya maana sana mpaka amlipe kimshahara hiko asingeweka hiyo point ningemuelewamuoga wa jf nn shida! mbn huo mshahara unatosha tu ulitakaje kwan ww!atoe sh ngp ndo uridhike!mbn matusi namna hyo kwa vitu vya kawaida