Recent content by Agathadastorywriter

  1. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania Bado nakupenda sana

    BADO NAKUPENDA SANA:08 aliendelea kupiga huku akinikera kwani ile simu yake ilipokua ikiingia niliisikia milio masikioni kwangu, lakini sikujali niliendelea kuongea na Hansy tena kwa amani zote kwani bwana yule alinichosha kipindi chote tulichokuwa pamoja, akifanya hili na mimi nafanya kile ili...
  2. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania Bado nakupenda sana

    BADO NAKUPENDA SANA:07 ili nipoteze muda, nikakuta voice note yaani ujumbe wa sauti kutoka kwa aliyekuwa mpenzi wangu "usinifanyie hivyo mama sahau yaliyopita au nikopeshe basi. "Safari hii hakunisumbua, alizoea akifanya hivyo mimi nachanganyikiwa mpaka nakopa kumpa yeye asiteseke wakati yeye...
  3. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania Bado nakupenda sana

    BADO NAKUPENDA SANA :06 anafanya mishe gani maana alikuwa hashauriki kifupi mtu wa kuchagua kazi, Nilipokuwa sijamjibu alisema "mama, umeninunia mwanao, Nisamehe basi na wewe siunajua mimi nakupenda zingine mbwembwe tu. " "Sawa nimekusamehe usiku mwema. "Nilimjibu ili akate simu kwani nilihisi...
  4. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania Bado nakupenda sana

    BADO NAKUPENDA SANA :05 Sikutaka kubishana sana na Hansy, nilikubali na kwakuwa nilikuwa nimechoka sana ilinibidi niage, nilitembea hatua chache akaniita kwa unyonge "Ney. " Nami nilisimama na kumgeukia, aliniambia "samahani Ney, Nisamehe leo sipo sawa niachie namba yako nitakupigia. "...
  5. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania BADO NAKUPENDA SANA

    BADO NAKUPENDA SANA :04 alishawahi kufanywa mjinga sana na kijana aliyekutana naye kabla ya Hansy, alisema "kabla sijaingia rasmi katika mahusiano na Hansy, nilikuwa na mpenzi niliyehisi atanipenda sana, alikuwa ananifanyia vituko vya sana nami nikawa namlipiza eti kwakuingia katika mahusiano na...
  6. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania BADO NAKUPENDA SANA

    BADO NAKUPENDA SANA :03 unahitaji nini leo, maana mzigo mpya huo" Ney alijitahidi kujiongelesha lakini binti yule alimsogelea Ney nakumwambia "Pole sana dada Ney, unaonekana una maumivu sana kuhusu Hansy. " Alipofika hapa Ney alishangaa na kuuliza "ulikuwepo hapa? " "Nimesikia kila kitu dada...
  7. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania BADO NAKUPENDA SANA

    Ni ndefu kiasi nitajitahid kuimaliz mapem Ila Instagram ishaisha
  8. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania BADO NAKUPENDA SANA

    BADO NAKUPENDA SANA:02 kinachonifurahisha zaidi, nimejitahidi kufuta namba yako katika simu yangu wakati inaishi kichwani na ndani ya moyo wangu, kiasi kwamba hata nikikurupushwa usiku naitaja tena bila ya kusitasita, haitoshi kila nilipokuwa nikiona umetupia picha katika mtandao wa kijamii...
  9. Agathadastorywriter

    JamiiForums Tanzania Bado nakupenda sana

    BADO NAKUPENDA SANA:01 "Ni muda sasa umepita, nimejikaza lakini nashindwa kuendelea, ukweli ni kwamba BADO NAKUPENDA SANA, bado Nakupenda Hansy, kuna muda najuta kwanini nilikufahamu, lakini nikikumbuka uzuri wako nasahau yote uliyofanya kwangu nakukumbuka mapenzi yetu kipindi bado yapo moto...
Back
Top Bottom