Recent content by Africana Jr.

  1. A

    Shukrani kwa ukaribisho - Anna Tibaijuka

    karibu sana mama Tibaijuka. Naomba uanze suala la loliondo. Kagasheki binafsi ananichanganya kwa matamko yake kifupi simuelewi. Suala la ardhi loliondo nadhani wizara zote mbili mngeshirikiana vyema kisha mtupe majibu stahiki. Wamasai zaidi ya 65000 kumpisha mwekezaji wanaelekea wapi?
  2. A

    Sababu iliyomfanya mkuu wa mkoa Arusha kupigwa mawe

    kikubwa tujadili mustakabali wa wanafunzi pindi chuo itapofunguliwa. Najua lazima kuna ambao watatolewa kafara kufukuzwa kama funzo kwa walio wengi. Kwasasa tunashabikia lakini kuna vijana wataharibiwa maisha yao. Kipi cha kufanya?
  3. A

    Sheikh Farid amewahi kutumikia Jeshi la Qatar

    sishangai kwani Wazanzibar wengi sana wapo nchi za uarabuni
  4. A

    Kariakoo Lutheran!!Kweli Wakristo ni wana kondoo!

    kuchochea udini ni laana kubwa itakayotutafuna hapa duniani na ahera. Ukichochea watu wakauana ambao walizoea kuishi pamoja nakwambia mpaka unaingia kaburini ni jambo litalo kusumbua daily. Msi-generalize waislamu wote,msiite dini nyingine ya mashetani,etc na kama ni kundi dogo ni rahisi...
  5. A

    Nimeshindwa Ubunge Wa EAC, Sasa Kujipanga Upya!

    Hongera sana ila usikate tamaa. Umeona fursa ukachangamkia kwa kuamini kuwa unaweza. Kuthubutu kwako ni ushindi tosha. Well done
  6. A

    Kutoka bungeni: Uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki

    well said. Ukweli mtupu kiongozi
  7. A

    Pongezi kwako Vincent Nyerere!

    Sururu V. Nyerere yupo vizuri pia jukwaani anatisha
  8. A

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    Wazee wa Sing'isi pigeni kimya lindeni kura pia tusifanye vurugu. Haki itasimama,Mungu yupo upande wetu
  9. A

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kweli kiongozi kipa yupo safi sana na kumbuka alikuwa kipa chaguo la tatu
  10. A

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Shukrani ziende kwa Van Persie pia hongeren gunners wenzangu sababu ndiyo shukran pekee yakumpa Mikel Arteta
  11. A

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Come on Gunners! Ushindi leo muhimu sana kwetu. Mashabiki wa manure wamebaki kimyaa wakingoja leo tufungwe kisha waanze kuongea. Together we stand!!
  12. A

    Dk cyrill nini kimemsibu??

    Nilishtuka sana nilipomuona jana TBC!
  13. A

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Go gunners!
Back
Top Bottom