karibu sana mama Tibaijuka. Naomba uanze suala la loliondo. Kagasheki binafsi ananichanganya kwa matamko yake kifupi simuelewi. Suala la ardhi loliondo nadhani wizara zote mbili mngeshirikiana vyema kisha mtupe majibu stahiki. Wamasai zaidi ya 65000 kumpisha mwekezaji wanaelekea wapi?
kikubwa tujadili mustakabali wa wanafunzi pindi chuo itapofunguliwa. Najua lazima kuna ambao watatolewa kafara kufukuzwa kama funzo kwa walio wengi. Kwasasa tunashabikia lakini kuna vijana wataharibiwa maisha yao. Kipi cha kufanya?
kuchochea udini ni laana kubwa itakayotutafuna hapa duniani na ahera. Ukichochea watu wakauana ambao walizoea kuishi pamoja nakwambia mpaka unaingia kaburini ni jambo litalo kusumbua daily. Msi-generalize waislamu wote,msiite dini nyingine ya mashetani,etc na kama ni kundi dogo ni rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.