Dk cyrill nini kimemsibu??

Dk cyrill nini kimemsibu??

Hivi muda wa kiongozi wa serikali, mfano waziri, kuruhusiwa kuwa on sick - leave ni muda gani? Au it remains kama discretion ya aliye mteua? Huyu ni mchumi mzuri sana, a Toronto PhD, na ile wizara ilimfaa sana. Lakini kama ni mgonjwa, apumzike tu kwani ile wizara ni kiungo muhimu sana cha uchumi wetu. Chami bado ana umri mdogo, akipata nafuu au kupona, atarudishwa tu kwenye baraza la mawaziri kwani wataalam wa aina yake miongoni mwa wabunge, sio wengi sana. Na pengine hii itampa nafasi Migiro kuwa waziri pale viwanda kwani kwa CV yake ya sasa, hawezi kupewa wizara ndogo ndogo, ni aidha Viwanda, Fedha au Foreign Affairs.
Nakubaliana nawe lakini pia na yeye anatakiwa aangalie afya yake na si lazima apumzishwe anaweza pia kuomba kupumzika.Taabu ni kuwa marupupu na hadhi vinawaumiza wengi.
Nimemuona TBC jana usiku kwa kweli he is sick!!
 
We umemwona kwenye tv ungemwona live ungetoa chozi hakika si dk chamai tunaemjua jamani
akitembea zile nyweele zinapperuka kabisa alafu zimeanza kuwa kama za kisomali sijui babake alikuwa na mixer anyway
 
naunga mkono hoja... there must be a written law somewhere kuhusu utumishi na afya

Kamanda viongozi wetu wengi afya mgogoro ndo maana wengi walikimbilia kwa babu Loliondo kupata kikombe
 
Lol kama ni cyrill
chami ni bad news
kwangu!
Ngoja nifanye mpango
nimjulie khali
 
Kwa ukubwa wa baraza letu la mawaziri, ni heri wapumzishwe lakini wasiteuliwe wa mbadala. Kama kipindi chote wanaumwa kazi ziliendelea kama kawaida, hii inathibitisha kutokuwepo kwao hakuna madhara yoyote. Kwa hali tuliyo nayo kiuchumi, kimefika sasa kipindi tupunguze gharama za kuendesha serikali kwa kupunguza wingi wa mawaziri tulio nao.

You have a point Asprin !
 
ni muda sasa wa jk kuwapunzisha watibiwe kwanza
wale waliozidiwa bora jk aunde upya baraza la mawaziri
apunguze wawe wachache sana kuokoa matumizi yasiyo halali
manaibu wengi wapo kama sanamu.
pole chami mwandosya na mwakyembe
 
Hivi muda wa kiongozi wa serikali, mfano waziri, kuruhusiwa kuwa on sick - leave ni muda gani? Au it remains kama discretion ya aliye mteua? Huyu ni mchumi mzuri sana, a Toronto PhD, na ile wizara ilimfaa sana. Lakini kama ni mgonjwa, apumzike tu kwani ile wizara ni kiungo muhimu sana cha uchumi wetu. Chami bado ana umri mdogo, akipata nafuu au kupona, atarudishwa tu kwenye baraza la mawaziri kwani wataalam wa aina yake miongoni mwa wabunge, sio wengi sana. Na pengine hii itampa nafasi Migiro kuwa waziri pale viwanda kwani kwa CV yake ya sasa, hawezi kupewa wizara ndogo ndogo, ni aidha Viwanda, Fedha au Foreign Affairs.

Haya mambo ya kusema ana Ph.D ya Toronto kwahiyo ile wizara ilimfaa haiwasaiddi waTanzania. Ph.D or No PH.D wananchi wanataka someone who can deliver; hawa wanaojiita wasomi na vyeti vyao wengine toka Harvard sijui ndio hao hao wanaotuibia mali zetu wakishirikiana na na hao marafiki zao waliokutana nao huko. Hawa wakina Ndullu nao si ndio wa huko huko wanayumbisha uchumi wetu kama vile hawana akili nzuri!!
 
Jana alionekana kwenye TV amechoka sana kama sio mtangazaji kumtaja huwezi kumtambua anahitaji bado kupumzika.

Kama alikuwa na ngoma kwa muda mrefu na akaficha mpaka ikakomaa basi hata akianza hizo dozi sasa inawezekana zisimsaidie; he should be true to himself apumzike na kulinda afya yake na kuishi kwa matumaini!!
 
Nakubaliana nawe lakini pia na yeye anatakiwa aangalie afya yake na si lazima apumzishwe anaweza pia kuomba kupumzika.Taabu ni kuwa marupupu na hadhi vinawaumiza wengi.
Nimemuona TBC jana usiku kwa kweli he is sick!!

Tatizo lililopo pia ni kwamba kumuondoa kiongozi mwenye maradhi ambayo chanzo chake hakisemwi vizuri ndani ya jamii, kwamba kuna mkono mchafu wa kisiasa n.k, inaweza kuja kuwa 'political liability' kubwa kwa chama na serikali yake, hasa kama viongozi hawa wataishia mitaani bila msaada, hivyo kuzidi kuwa hoi kutokana na kukosa matunzo ya matibabu n.k, ambayo yanaendana na nafasi zao za sasa za uwaziri n.k.
 
kama alikuwa na ngoma kwa muda mrefu na akaficha mpaka ikakomaa basi hata akianza hizo dozi sasa inawezekana zisimsaidie; he should be true to himself apumzike na kulinda afya yake na kuishi kwa matumaini!!

ngoma yes,ila elewa
kuna magonjwa mengi
yanayoweza kumdhoofisha mtu!!!
 
Maskini mbunge wangu! Nakuombea kwa Mungu upone ili uje utengeneze barabara yetu ya Kishumundu, imeharibika kishenzi lami yote imebanduka.

Kiumbe umeongea jambo la msingi juu ya hiyo barabara tutafute njia mbadala kuwasiliana nae.nadhani anaweza kumobilize resource na wafadhili wa ndani.ni barabara muhimu ile kuharibika tutarudi nyuma sana.
 
Hivi muda wa kiongozi wa serikali, mfano waziri, kuruhusiwa kuwa on sick - leave ni muda gani? Au it remains kama discretion ya aliye mteua? Huyu ni mchumi mzuri sana, a Toronto PhD, na ile wizara ilimfaa sana. Lakini kama ni mgonjwa, apumzike tu kwani ile wizara ni kiungo muhimu sana cha uchumi wetu. Chami bado ana umri mdogo, akipata nafuu au kupona, atarudishwa tu kwenye baraza la mawaziri kwani wataalam wa aina yake miongoni mwa wabunge, sio wengi sana. Na pengine hii itampa nafasi Migiro kuwa waziri pale viwanda kwani kwa CV yake ya sasa, hawezi kupewa wizara ndogo ndogo, ni aidha Viwanda, Fedha au Foreign Affairs.

Afya yake imekua ikitetereka kwa muda sasa,ila kwa kuwa na naibu waziri mchapa kazi pengo lake limekua halionekani kabisa,tunamuombea apate nafuu haraka arejee kwenye ujenzi wa taifa pia tunamuomba mungu azidi kumtia nguvu naibu waziri katika kipindi hiki kigumu wizarani pale.
 
Kwa ukubwa wa baraza letu la mawaziri, ni heri wapumzishwe lakini wasiteuliwe wa mbadala. Kama kipindi chote wanaumwa kazi ziliendelea kama kawaida, hii inathibitisha kutokuwepo kwao hakuna madhara yoyote. Kwa hali tuliyo nayo kiuchumi, kimefika sasa kipindi tupunguze gharama za kuendesha serikali kwa kupunguza wingi wa mawaziri tulio nao.

MUCH RESPECT!!

Mwandosya,Zito na Mwakyembe tuliambiwa wanachoumwa
na hata kupelekwa kwao india ilikuwapublished
mbona kwa Cyril ni kimya kikuu,wananchi hawajui kama kiongozi wao mgonjwa!

 
Hivi muda wa kiongozi wa serikali, mfano waziri, kuruhusiwa kuwa on sick - leave ni muda gani? Au it remains kama discretion ya aliye mteua? Huyu ni mchumi mzuri sana, a Toronto PhD, na ile wizara ilimfaa sana. Lakini kama ni mgonjwa, apumzike tu kwani ile wizara ni kiungo muhimu sana cha uchumi wetu. Chami bado ana umri mdogo, akipata nafuu au kupona, atarudishwa tu kwenye baraza la mawaziri kwani wataalam wa aina yake miongoni mwa wabunge, sio wengi sana. Na pengine hii itampa nafasi Migiro kuwa waziri pale viwanda kwani kwa CV yake ya sasa, hawezi kupewa wizara ndogo ndogo, ni aidha Viwanda, Fedha au Foreign Affairs.

mkuu, we bado unaabudu CVs??................... hujasikia mambo ya "manufacturing teachers"................. huko davos???................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom