mkisha yamaliza najua atakua anatoa machoz kwa uchungu mpige mashine kuliko cku zote atakuxamehe bila kinyongo mdau fanya hvy coz hata mim huwa nawasugua ipasavyo kwny hali kam hy
Ndugu Zangu Wana Jf Naitaji Msaada Wenu Leo Kama Kunamtu Anaweza Nisaidia Japo Kwa Mawazo Yenu Nitashukulu,mimi Nikijana Mwenye Umri Wa Miaka 25 Sasa Nipo Kweny Relation Ya Kimapenz Na Mabinti Wawili Lakn Mmoja Kata Ya Hao Ameshtuka Kua Ninam2 Mwingne Na Anamfahamu Kabisa Huyo Binti Mwngne Ni...
ndoa n aman na upendo n co mali au umackini wa m2 ila ndoa bila maombi nixawa n kazi bure....muombe mungu atakuonesha yupi sahh kat y hao ukitumia macho y kibinadamu utaumia my ccta.
muwe mnachagua kabila za kuoa au kuolewa ndo mana mnakua mnakunywa vitu vya kishetani"majini yanataka damu na binadamu wanataka damu 2tafika wapi ndugu zangu?
mkipigwa mzinga mnamaind xn mkitolewa pay mnashangaa,kawaida 2 bro demu kukutolea hela co mby mbona jamaa yangu analipiwa mpk school fees we komaa n mtt anaonekana ana true love
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.