Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,842
Mwanaume anapaswa kujua silaha yake kubwa kabla hajamfuata mwanamke ambaye hamjui au hawafahamiani wamekutana kwenye basi,daladala au njiani kwa nia ya kutaka kuanzisha uhusiano nae
Mwanaume anapaswa kujiamini na kuacha kujiuliza mara mbilimbili , mbona wakati wa kula chakula watu hawajiulizi mara mbilimbili ujasiri wako ndo utakaofanya kumpata mwanamke yoyote umpendae vaa ujasiri wa kumweleza ndani ya mda muafaka . wakati unamfuata fanya ni kama demu wako na mshazoeana sana na usiogope kukataliwa
Ukizingatia ujasiri huu utakuwa unawang'oa kila siku tena watoto wale visu tu.
Mwanaume anapaswa kujiamini na kuacha kujiuliza mara mbilimbili , mbona wakati wa kula chakula watu hawajiulizi mara mbilimbili ujasiri wako ndo utakaofanya kumpata mwanamke yoyote umpendae vaa ujasiri wa kumweleza ndani ya mda muafaka . wakati unamfuata fanya ni kama demu wako na mshazoeana sana na usiogope kukataliwa
Ukizingatia ujasiri huu utakuwa unawang'oa kila siku tena watoto wale visu tu.