Mahunguchila
Member
- Jun 11, 2012
- 74
- 34
msinisumbue ooh,sijui na contacts zake....
![]()
Dah wanja wa nabii Flora tu mie hoooi!
msinisumbue ooh,sijui na contacts zake....
![]()
Dah wanja wa nabii Flora tu mie hoooi!
OUT OF TOPIC
Hivi nabii yupo? Naomba namba yke manake mwaka ulivoanza kama SIUELWI ELEWI! Kuna msela wangu alikuwa hana kazi kaenda kumuona nabii mara moja, tena ilibidi aende saa 9 usiku kuwahi foleni, wiki ndefu! Kapata BONGE LA KAZI!!!!!!!! Afu hajarudi tena. Nikimuomba namba ya nabii ANANIZEVEZA!
Please ni PM hiyo namba maana walimwengu nmewastahimilia sanaa wanataka kunipanda kichwani.
makubwa haya, haya mchungaji wewe nawe una mambo
yani tukushauri kungonoka? ulioa ili mfurahishe bibi ako , mbona unamkosea heshima mkeo ebboKinacho nitokea saizi mpaka najuta Mimi Nina mke ila katika pitapita zangu nikakutana na kabinti kanasali kwa nabii flora nikakapenda nikawa natoka nako takrabani sasa miezi Saba sasa.
Majanga yaliyo nikuta napotaka kufanya mapenzi na mke Wangu mashine usimama na uwenda round moja tu tena na Mimi ndo uwai kufika kileleni yeye anakuwa bado nikisha maliza hapo mashine aisimami tena labda mpaka asubuhi.
Lakini cha kushangaza napomuona yule binti mwili Wangu utamani kufanya mapenzi na yeye name ikitokea Niko naye mashine usimama Vila shida name game Kama kawaida hata bao tatu mpaka nne nafikisha sasa nimeshinda kuelewa Kama kuna mtu hii hali imeshamtokea basi no vyema akanishauri nini nifanye na ukizingatia nimeshajaribu eti nimuache huyo binti imekuwa ngumu anakuwa name ushawishi wa halo ya juu Sana.
Tafadhali wa jf nisaidieni nifanye nini pia samahani kwa kutokuwa muaminifu kwenye ndoa yangu shetani alinizidi ujanja
Kinacho nitokea saizi mpaka najuta Mimi Nina mke ila katika pitapita zangu nikakutana na kabinti kanasali kwa nabii flora nikakapenda nikawa natoka nako takrabani sasa miezi Saba sasa.
Majanga yaliyo nikuta napotaka kufanya mapenzi na mke Wangu mashine usimama na uwenda round moja tu tena na Mimi ndo uwai kufika kileleni yeye anakuwa bado nikisha maliza hapo mashine aisimami tena labda mpaka asubuhi.
Lakini cha kushangaza napomuona yule binti mwili Wangu utamani kufanya mapenzi na yeye name ikitokea Niko naye mashine usimama Vila shida name game Kama kawaida hata bao tatu mpaka nne nafikisha sasa nimeshinda kuelewa Kama kuna mtu hii hali imeshamtokea basi no vyema akanishauri nini nifanye na ukizingatia nimeshajaribu eti nimuache huyo binti imekuwa ngumu anakuwa name ushawishi wa halo ya juu Sana.
Tafadhali wa jf nisaidieni nifanye nini pia samahani kwa kutokuwa muaminifu kwenye ndoa yangu shetani alinizidi ujanja
Kipya kinyemi ushamchoka mkeo.
Kinacho nitokea saizi mpaka najuta Mimi Nina mke ila katika pitapita zangu nikakutana na kabinti kanasali kwa nabii flora nikakapenda nikawa natoka nako takrabani sasa miezi Saba sasa.
Majanga yaliyo nikuta napotaka kufanya mapenzi na mke Wangu mashine usimama na uwenda round moja tu tena na Mimi ndo uwai kufika kileleni yeye anakuwa bado nikisha maliza hapo mashine aisimami tena labda mpaka asubuhi.
Lakini cha kushangaza napomuona yule binti mwili Wangu utamani kufanya mapenzi na yeye name ikitokea Niko naye mashine usimama Vila shida name game Kama kawaida hata bao tatu mpaka nne nafikisha sasa nimeshinda kuelewa Kama kuna mtu hii hali imeshamtokea basi no vyema akanishauri nini nifanye na ukizingatia nimeshajaribu eti nimuache huyo binti imekuwa ngumu anakuwa name ushawishi wa halo ya juu Sana.
Tafadhali wa jf nisaidieni nifanye nini pia samahani kwa kutokuwa muaminifu kwenye ndoa yangu shetani alinizidi ujanja
DR Nina Wallerstein, mtaalam wa saikolojia ya ndoa na makuzi ya kijamii amewahi kuandika katika kitabu chake cha vipaji 9 vya kisaikolojia alivyoumbwa navyo mwanamke kuhusu talaka za kihisia,kitendo cha wewe kuisaliti ndoa yako kwa kukubali kutoka na hako kamalaya kako ina maana ulidhamiria katika ambitions zako na kujiambia mkeo humtaki...unataka mbadala....hajui mapenzi...nk,kumbuka miili yetu inapokea kile kinachotoka katika hisia zetu,ukiwekeza mapenzi ya ukweli na dhati hakika nakuhakikishia utakuwa na uwezo wa kumgonga mkeo si chini ya mara tano per nyt,lakini kwa sababu ushampa talaka ya kihisia hata hiyo mara moja per nyt itapotea baada ya siku chache zijazo,rudi kuwa wewe na achana na nyumba ndogo-huku kenya tunaita mpango wa kando.itakuletea balaa na kusambaratisha familia.Kinacho nitokea saizi mpaka najuta Mimi Nina mke ila katika pitapita zangu nikakutana na kabinti kanasali kwa nabii flora nikakapenda nikawa natoka nako takrabani sasa miezi Saba sasa.
Majanga yaliyo nikuta napotaka kufanya mapenzi na mke Wangu mashine usimama na uwenda round moja tu tena na Mimi ndo uwai kufika kileleni yeye anakuwa bado nikisha maliza hapo mashine aisimami tena labda mpaka asubuhi.
Lakini cha kushangaza napomuona yule binti mwili Wangu utamani kufanya mapenzi na yeye name ikitokea Niko naye mashine usimama Vila shida name game Kama kawaida hata bao tatu mpaka nne nafikisha sasa nimeshinda kuelewa Kama kuna mtu hii hali imeshamtokea basi no vyema akanishauri nini nifanye na ukizingatia nimeshajaribu eti nimuache huyo binti imekuwa ngumu anakuwa name ushawishi wa halo ya juu Sana.
Tafadhali wa jf nisaidieni nifanye nini pia samahani kwa kutokuwa muaminifu kwenye ndoa yangu shetani alinizidi ujanja
Wake zetu hushindwa kuonesha majamboz wakishatuzoea mm hiyo nimekumbana nayo mara kibao nikienda kwa kadem kangu naweza piga hata bao sita lkn kwa wif maxmum 2! Na hamu kwisha kabisa! Madem wa nje wanajipanga vizuri unapompa appointment