Recent content by afiricom mrema

  1. afiricom mrema

    Mume wangu hataki kuvunja ndoa, nifanyeje?

    bila shaka umeshaonja onja,bora ujichongee mzinga.
  2. afiricom mrema

    Msaada jinsi ya kudhibiti wizi dukani

    Ukifunga CCTV kamera Kwa ajili hiyo na bado yupo atajua umefanya kwa ajili yake,ndio sasa atakukomesha vizuri,,,dawa ni kumweka kushoto,,,vinginevyo uwe haumlipi vizuri au humjali.
  3. afiricom mrema

    Msaada wanaJF, tafadhali nina tatizo

    Kula vitu hivi braza,karanga mbichi,mihogo mibichi,bamia,ufuta,pilipili,tangawizi,tikiti maji,,,piga unavoweza ,usisahau mazoezi,,,ukifanya ivo bas umewin.
  4. afiricom mrema

    Je, kuna ukweli watu wafupi wana inferiority complex hivyo kukasirika sana wanapohisi kudharauliwa?

    Kwenye dhana hii jinsia ya kike inapata shida Kwa kweli,wadada wafupi ndani ya ndoa ni wakorofi mno kuliko wale warefu,wanavijitabia vyenye kufanana wivu ,na ubabe na matusi.
  5. afiricom mrema

    Tuambie kitu ulichofanyiwa utotoni kikakuletea madhara hadi leo

    baba yangu baada ya ripoti ya kushika mkia alinifuatilia shuleni kibabe na kunipiga ngumi na mitama na kunifunga kamba hadi home,nililala na kamba had I asubuhi ,basi nikikumbuka hii ishu huwa nacheka,lkn namshukuru kwani ilinifanya kuwa mgumu sana ktk life langu.
  6. afiricom mrema

    DODOMA: Kigwangalla aagiza kukamatwa kwa Kijana maarufu mitandaoni kwa ushoga, James Delicious

    wote wanaojihisi kuwa mashoga wajisalimishe :):):)
  7. afiricom mrema

    Rais Magufuli apigilia msumari jeneza la wauza Dawa za Kulevya, asema si kazi ya Makonda pekee

    hapo sasa ngoma na mwenyewe,mzee wa misimamo kashatia mkono,usimsahau yule mzee wa awam ya4
  8. afiricom mrema

    Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

    wanadaiwa tu,au wanahisiwa kutumia au kuuza,,,
  9. afiricom mrema

    Dawa za Kulevya za Kigogo mmoja wa Tanzania zakamatwa nchini Kenya

    pole sana braza kupoteza chanel
  10. afiricom mrema

    Ni sahihi Mh. Rais kuzungumza lugha ya kabila lake katika mkutano wa hadhara?

    yupo sawa ,lugha sio ishu.hata akiongea kimakonde ni sawa2
  11. afiricom mrema

    Rais Magufuli awashangaa Kagera: UKIMWI nyie, tetemeko nyie, mna mto unaitwa Ngono na Kijiji cha Katerero

    rais yupo wazi sana/wahaya kusikia neno katerero masikio yamesimama fasta wamesahau ishu ya tetemeko
  12. afiricom mrema

    Wanaume: Hili la 'sex before marriage', Mungu anawaona!

    wanawake ndio wanapenda hii kitu/usipowapa wanaona hawajapendwa
Back
Top Bottom