Tukague vyeti vya waandishi wa habari wa gazeti la Tanzania Daima

COARTEM

JF-Expert Member
Nov 26, 2013
3,596
3,639
E9E7CD2A-0560-4F47-8489-5545D9B9EF19.jpg
 
Gazeti la chama, ni reflection ya tabia zao za ukurupukaji na malezi yao.

Kukurupuka tu kama Tundu Lissu. Halafu mhariri wa gazeti hili hafanyi kazi yake ipasavyo. Ingekuwa ni spelling tungewaelewa.
 
Tanzania Daima mnatia aibu bana.mnashindwaje kufanya kazi yenu kwa weledi.Nawewe mhariri wahili gazeti uoni aibu,ata wewe uliyekua unachapa hiyo taarifa ulikua unawaza nin ulipokua unaandika upupu kama huo.Badilikeni bana.
 
Tanzania waandishi ni vilaza na ndo maana huwa sisomi vigazeti vyao. Siku nyingine utasikia wanasema mkoa wa Bukoba, wakati mwingine utasikia mkoa wa Songea. Yaani hawa jamaa ni viazi hatari, huko ndo kuna uozo wa hatari na ndo maana kila wakati wanafia vi bahasha, for, they are "hollow heads"
 
Tanzania waandishi ni vilaza na ndo maana huwa sisomi vigazeti vyao. Siku nyingine utasikia wanasema mkoa wa Bukoba, wakati mwingine utasikia mkoa wa Songea. Yaani hawa jamaa ni viazi hatari, huko ndo kuna uozo wa hatari na ndo maana kila wakati wanafia vi bahasha, for, they are "hollow heads"
 
Tanzania Daima mnatia aibu bana.mnashindwaje kufanya kazi yenu kwa weledi.Nawewe mhariri wahili gazeti uoni aibu,ata wewe uliyekua unachapa hiyo taarifa ulikua unawaza nin ulipokua unaandika upupu kama huo.Badilikeni bana.
Tukiwapa hoja za kuwarekebisha wao wanakuja na majibu ya hasira hasira.
 
IMG-20170509-WA0013.jpg
Tanzania waandishi ni vilaza na ndo maana huwa sisomi vigazeti vyao. Siku nyingine utasikia wanasema mkoa wa Bukoba, wakati mwingine utasikia mkoa wa Songea. Yaani hawa jamaa ni viazi hatari, huko ndo kuna uozo wa hatari na ndo maana kila wakati wanafia vi bahasha, for, they are "hollow heads"
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom