kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,422
- 7,211
inshu ndio nini.mmhh kama nawaona watetezi wa haki za binadam toka nchi mbali mbali wakijiandaa kufanya kazi yao...
by the way kwa upande flan hii inshu itampiga kick huyu mliwa jicho.
inshu ndio nini.mmhh kama nawaona watetezi wa haki za binadam toka nchi mbali mbali wakijiandaa kufanya kazi yao...
by the way kwa upande flan hii inshu itampiga kick huyu mliwa jicho.
Wewe shoga unataka nani sasa aongelee ushoga ambaye hana kazi ingine?, mbona unajichoresha huwezi kumzuia Kigwangala kama waziri kulisemea lolote lile ambalo katika jamii halifai! unabaki kusema yuko bize hatakiwi kulisemea la ushoga asemee ya madawa tu......
ebu mtaje kiongozi gani au nani ambaye hayuko bize anapaswa akemee ushoga??
taja
BUNGENI HIVI PUNDE:
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Hamisi Kigwangalla, akijibu hoja za wabunge ameviagiza vyombo vya usalama kumtafuta mtu anayejulikana kwenye mitandao ya kijamii kama "James Delicious" kwa kujitangaza kama shoga kinyume cha sheria na kumfikisha mbele ya sheria kujibu tuhuma za kuendesha biashara ya kuuza ngono ya kinyume cha maumbile.
James Delicious alijadiliwa JF, zaidi soma Shoga maarufu mjini Dar apania kumpokonya Jux kutoka kwa Vanessa Mdee
UPDATE:
hahaha wanaandaa camera leo jionmmhh kama nawaona watetezi wa haki za binadam toka nchi mbali mbali wakijiandaa kufanya kazi yao...
by the way kwa upande flan hii inshu itampiga kick huyu mliwa jicho.
VERY TRUE !!!Haya ni mambo ya hovyo sana kudeal nayo.
Kumkamata ni kumfanya ajione kuwa kuna watu wanashughulika na uwepo wake.
Ana mengi sana ya kudeal nayo wizara ya afya, labda kama na yeye anatafuta kiki tu.
Haya ni mambo ya hovyo sana kudeal nayo.
Kumkamata ni kumfanya ajione kuwa kuna watu wanashughulika na uwepo wake.
Ana mengi sana ya kudeal nayo wizara ya afya, labda kama na yeye anatafuta kiki tu.
Haya ni mambo ya hovyo sana kudeal nayo.
Kumkamata ni kumfanya ajione kuwa kuna watu wanashughulika na uwepo wake.
Ana mengi sana ya kudeal nayo wizara ya afya, labda kama na yeye anatafuta kiki tu.