Recent content by adriel

  1. adriel

    GE2020 Je, ni kweli Rais Magufuli ni Rais wa wanyonge?

    Katika kile ambacho Rais Magufuli huwa anakisema mara nyingi kuwa yeye ni Rais wa wanyonge na masikini ndicho kimenipa kipaumbele cha kuandika uzi huu. Ni kweli yeye ni Rais wa wanyonge na masikini, lakini hayuko kuwasaidia hao wanyonge na masikini anaowaongoza kwanini?? Kwasababu ameshindwa...
  2. adriel

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Hizo ajira sasa zinatosha??? Tume inatangaza nafasi 1 wanaomba watu 1000, unasema ajira anatoa??? Hiyo nafasi yenyewe watu wa tume wanapeana ndani kwa ndani, kutangaza inawekwa tu kama ushahidi!!
  3. adriel

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Huu ni wendawazimu tu, watu tumekuwa wanafiki sana, kumsifia mpaka ujinga, ni heri anayekosoa maana huyo ndiye rafiki mzuri na anayependa uendeleee!! Sifa hazikupi changamoto positive, challenges zinakupa positive thinking to conquer your ways!! Tuache kusifiasifia hovyo hovyo kwasababu ya...
  4. adriel

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Hahahaaaah!! Bombadier used 2
  5. adriel

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Wanadamu tunasema unaweza kutenda mema 9999 lakini ukikosea moja linafuta mema 9999 yote!! Kuna intake za kuanzia 2015 ziko mtaani, zinauza chips na nyingine zimeamua kutojulikana zinafanya nini mtaani. Mheshimiwa Rais aacha kusema yeye ni rais wa wanyonge na masikini, maana watoto wa wanyonge...
  6. adriel

    Waislam nijibuni hili

    Mimi najiulizaga hivi uislamu unafundisha watu kuwa waganga wa kienyeji (walozi)?? Maana ukiingia Facebook na Instagram unakuta mitangazo kibao mara Dr. Khamis, Husein, Mrisho, Khalfan,Shabani, Mohamed anatibu mvuto wa pesa, kumrudisha mke au mume, pete ya bahati na maneno mengine mengi tu...
  7. adriel

    Dkt. Bashiru: Ole wake Mwana-CCM atakayetumia upumbavu wa wapumbavu unaoendelea hivi sasa ili atafute ‘kick’, tutapambana naye

    Nakubaliana na wewe kwasababu hilo neno halina tofauti sana na neno "mshamba"! Kukaa kimya nayo ni hekima bora sana kuliko kuongea!
  8. adriel

    Nimeanza kuzini na mama mkwe. Alikuwa ananitega mwenyewe

    Huna akili na umejitafutia laana mwenyewe!!!!
  9. adriel

    Nahitaji kufahamu kiasi gani kinafaa kwa kuanza kilimo cha mboga kuanzia mbegu, madawa hadi kuvuna

    Habari za majukumu. Naamini kila mmoja anafanya vyema. Ni kiasi kinafaa kwa kuanza kilimo cha mboga kuanzia mbegu hadi madawa hadi kuvuna. Nahitaji kuanza kilimo cha mbogamboga. Bado sijapata kufahamu gharama halisi. Naomba mnisaidie ktk hili. Nawasilisha.
  10. adriel

    Kwanini wanandoa wengi wanakuwa hawana maendeleo mazuri kiuchumi hata kama wanafanya kazi?

    Sio ndoa zote, nimesema waliofanikiwa ni wachache, lakini wengi wao mafanikio yao ni kama mwendo wa kinyonga!!.
  11. adriel

    Mambo ya kuzingatia katika kuchagua mwenza wa maisha

    Kwangu mimi mke lazima awe partner in all aspects na sio kulala tu home.
  12. adriel

    Kwanini wanandoa wengi wanakuwa hawana maendeleo mazuri kiuchumi hata kama wanafanya kazi?

    Habarini wana MMU, Naamini uko salama na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku. Kwanini wanandoa wengi hawana maendeleo mazuri kiuchumi ingawa utakuta wote ni wafanyakazi! Kwanini inatokea hivi? Naomba tujengane na kufundishana wakuu. Nawasilisha.
  13. adriel

    Mwenyekiti wa CCM uone aibu!

    Huyu ni rais wa Tanzania na sio wa CCM. keep on moving Dkt. Magufuli
  14. adriel

    Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

    Hapo mkuu huna chako baba!! Fanya yako tu huyo kashapepeaaa mzee!!
Back
Top Bottom