Waislam nijibuni hili

Nyie mnashida kumuunga mkono mtoa mada,hakuna msikiti unaokosa madrasa kwa ajili ya kupata elimu lakini cha ajabu wewe unayetetea huoni umuhimu Wa elimu ya dini pia vitabu vipi vinavyotolewa Bure kabisa na waislam mbalimbali na hata wako watu wanaojitoleya kusafiri kwenda kufundisha dini na wala hawaonekani kwenye TV lakini kazi ya dini wanaifanya.
Sikuelewi kuwa unaunga mkono au unapinga ila nilisema; Tuwe na maono ya kuwaunga mkono hata hao watu wanaojitolea kwenda kufunza dini popote. Tuwawezeshe nayo itakuwa Thawab kwetu. Si lazima kuongeza msikiti wakati ile iliyopo haijai
 
Pia sheria haijakataa kutumbua hela zako ilimradi unalea familia .kumuandalia mwanao ulithi haipo kisheria.kwa hiyo nikikushauri bro jenga urithi wa wanao utanijibu hivyo Madagascar mkubwa we
Nadhani kila mmoja anahaki ya kutoa zawadi aitakayo labda kama hili kisheria haliruhusiwi mtanisahihisha.

Wewe ni nani hadi uwaamulie cha kutoa. Wewe tafuta penye eneo jenga hospitali au shule. Mwenyezi Mungu ndiye katijaalia kila tulichonacho.

Kwangu nawaunga mikono...sioni la zaidi zaidi ya kujenga misikiti/nyumba za ibada watu wamwabudu Muumba.

Tusisahau.
-Dini inaleta amani.
-Inaunganisha watu.
-Inaadabisha jamii.
-Inakusanya watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
imeandikwa katika Quran kwamba hapa duniani tukiondoka kitu pekee tutakacho kiacha na chenye manufaa baada ya kuondoka kwetu ni swadakatl_jaalia yaan sadaka yenye kuendelea. kwa mfano:
msikiti-watu wataendelea kusalia hata kama haupo
kisima-watu watakunywa na kutumia maji
mti wa matunda,
mtoto uliempa elimu ya dini, nk.

Hivyo watu wana chimba visima, kijenga misikiti, kupanda miti ya matunda, kununua vitabu vya dini(quran) jua sababu kuu ndo hyo hapo juu. Hasa zaidi ni maandalizi ya kesho baada ya kuachana na uhai wa dunia.

Natumai umenielewa. mengine wataongezea wadau.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wanaojenga shule hawaitaiona ahera mkuu?
 
Lengo na mission kuu ya Waislam kwenye hii Dunia ni kueneza Dini yao na kumfanya kila mtu awe Muislam, hata juzi JPM kapata msaada wa mabomba ya msikiti kule chato kutoka nchi flani ya huko Uarabuni.. jamaa wabinafsi sana lengo lao ni kueneza utamaduni wao na sio kusaidia binadamu
Mkuu ulitaka wakupe pesa zakujenga kanisa au? Unaposema lengo la waislam nikueneza dini yao lipi lengo la ukristo? Jje hiyo misaada inayo tolewa ulitaka kila inapotolewa itangazwe? Hizi ni chuki za.wazi kila muislam anacho fanya kuonekana hakina maana. Mbona hizo pesa zinazokuja kutoka urabuni hauzizungumzii?
 
Huu uzi umefanya niamini kuwa elimu ni kitu cha maana sana kwa mwanadamu,hasa kutokana na majibu ya ule upande,jamaa ana hoja ya msingi sana,sijaona kama ana chuki,ila katumia lugha ya ukali ili ujumbe ufike direct, matokeo yake anajibiwa kisirani..smh!
Mkuu sawa wewe unayo elimu IPI mana yakuuliza hili swali? Na jje ni sahihi anaposema waislam mission yao ni kueneza uislam na sio kusaidia? Wewe kama musomi historian ya wamishonari kuja Afrika likuwa na sa7bu nyingi tuu lakini moja yao ni kueneza ukristo tofauti na warabu waliokuja Afrika.
 
Waislam utawambia kitu gani cha maendeleo wakuelewe? We chek biashara zinazozunguka miskiti afu ndo utaelewa: kalimati, vitumbua, miti shamba, udi/ubani, kanzu used ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ebu jaribu kutaja wafanya biashara wakubwa Tanzania na matajiri tuone orodha yako! Hizi ni chuki ambazo hazina msingi wewe kama muelewa hizi biashara za.kalimati zimetoka wapi? Jje unataka kuniambia kwamba wanaoletea taiga maendeleo niwakristo tuu? Hizi hoja niza wetu ambao wanajifanya wamesoma kumbe wameenda shule tuu.
 
iambie serikali ya jiwe iache kununua ndege ujenge shule,zahanati na kutoa huduma zingine zote muhimu kwa jamii
waache waislamu na missada yao ya kujenga misikitiQUOTE="USSR, post: 33984530, member: 305333"]
Nilisikia na baadae kuona Mbwana Samatta katoa sadaka ya kujenga msikiti eneo lile lingetosha shule, hospital au kiwanda kidogo, kwa nini msikiti na pale kuna misikiti kibao inamaana zawadi ni msikiti tu hamtaki maendeleo zaidi ya misikiti?

Wakati nikiwa Morogoro nilishuhudia IGP mstafu mzee mahita akikabidhi msikiti licha ya eneo lile kuwa kubwa angeweza kujenga shule, zahanati au kitega uchumi chochote kitoe ajira watu wanufaike ,nikajiuliza zawadi ya maana ni msikiti

Misaada mingi ya mataifa ya kiislamu yaliyopiga hatua kama Qatar, Saudi Arabia,Brunei, Irani, Kuwait ,Oman na n.k wanaleta pesa wajenge misikiti mfano ule msikiti mkubwa pale Dodoma wa ghadafi angeweza kujenga chuo,shule ,zahanati na pale Dodoma misikiti ipo kibao kwa nini msikiti?

Juzi nimemuona msanii mkubwa yule ambaye anhmgeweza kujenga shule pale kigoma,zahati au hata kiwanda amechoma pesa kwa kujenga msikiti na pale kigoma misikiti imejaa kila mtaa hivi hakuna cha maana zaidi ya misikiti.

My take
Kuna haja mjipange maana mnatumia nguvu kubwa kujaza misikiti lakini maeneo mnayokaa yamejaa changamoto za shule, zahanati, vyuo na kero chungu mzima, jiongezeni

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE] Mkuu wewe ndio unaowashauri wakristo kujenga shule/ zanahati nk mahara kuna kanisa? Na mbona nanyie wakristo mnapojenga mnaanza na kanisa na badae mujenga shule au zanahati? Kwanini waislam wasianze na msikiti kuna tatizo gani?
 
Nilisikia na baadae kuona Mbwana Samatta katoa sadaka ya kujenga msikiti eneo lile lingetosha shule, hospital au kiwanda kidogo, kwa nini msikiti na pale kuna misikiti kibao inamaana zawadi ni msikiti tu hamtaki maendeleo zaidi ya misikiti?

Wakati nikiwa Morogoro nilishuhudia IGP mstafu mzee mahita akikabidhi msikiti licha ya eneo lile kuwa kubwa angeweza kujenga shule, zahanati au kitega uchumi chochote kitoe ajira watu wanufaike ,nikajiuliza zawadi ya maana ni msikiti

Misaada mingi ya mataifa ya kiislamu yaliyopiga hatua kama Qatar, Saudi Arabia,Brunei, Irani, Kuwait ,Oman na n.k wanaleta pesa wajenge misikiti mfano ule msikiti mkubwa pale Dodoma wa ghadafi angeweza kujenga chuo,shule ,zahanati na pale Dodoma misikiti ipo kibao kwa nini msikiti?

Juzi nimemuona msanii mkubwa yule ambaye anhmgeweza kujenga shule pale kigoma,zahati au hata kiwanda amechoma pesa kwa kujenga msikiti na pale kigoma misikiti imejaa kila mtaa hivi hakuna cha maana zaidi ya misikiti.

My take
Kuna haja mjipange maana mnatumia nguvu kubwa kujaza misikiti lakini maeneo mnayokaa yamejaa changamoto za shule, zahanati, vyuo na kero chungu mzima, jiongezeni

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi najiulizaga hivi uislamu unafundisha watu kuwa waganga wa kienyeji (walozi)??

Maana ukiingia Facebook na Instagram unakuta mitangazo kibao mara Dr. Khamis, Husein, Mrisho, Khalfan,Shabani, Mohamed anatibu mvuto wa pesa, kumrudisha mke au mume, pete ya bahati na maneno mengine mengi tu!!

Hivi wenzetu mnafundisha ulozi huko kwenu au na ulozi nao kwenu ni thawabu!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mleta mada hana akili au uwezo wake wa kufikiri ni mdogo haiwezekani maamuzi ya waislam wachache tujibu wote, mimi ni nani hadi nimpangie samata juu ya matumizi ya fedha zake? Kwanini asiandike open letter na kuadress hao watu alafu asubiri majibu yao?
Mkuu akili anazo lakini anazichanganya na za Sunday school ndio tatizo ya kubambikiza chuki.
 
Mimi najiulizaga hivi uislamu unafundisha watu kuwa waganga wa kienyeji (walozi)??

Maana ukiingia Facebook na Instagram unakuta mitangazo kibao mara Dr. Khamis, Husein, Mrisho, Khalfan,Shabani, Mohamed anatibu mvuto wa pesa, kumrudisha mke au mume, pete ya bahati na maneno mengine mengi tu!!

Hivi wenzetu mnafundisha ulozi huko kwenu au na ulozi nao kwenu ni thawabu!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe umesoma shule gani? maana naona huwezi kutofautisha kati ya mganga na mulozi. hujui tiba na kuroga?
 
Nilisikia na baadae kuona Mbwana Samatta katoa sadaka ya kujenga msikiti eneo lile lingetosha shule, hospital au kiwanda kidogo, kwa nini msikiti na pale kuna misikiti kibao inamaana zawadi ni msikiti tu hamtaki maendeleo zaidi ya misikiti?

Wakati nikiwa Morogoro nilishuhudia IGP mstafu mzee mahita akikabidhi msikiti licha ya eneo lile kuwa kubwa angeweza kujenga shule, zahanati au kitega uchumi chochote kitoe ajira watu wanufaike ,nikajiuliza zawadi ya maana ni msikiti

Misaada mingi ya mataifa ya kiislamu yaliyopiga hatua kama Qatar, Saudi Arabia,Brunei, Irani, Kuwait ,Oman na n.k wanaleta pesa wajenge misikiti mfano ule msikiti mkubwa pale Dodoma wa ghadafi angeweza kujenga chuo,shule ,zahanati na pale Dodoma misikiti ipo kibao kwa nini msikiti?

Juzi nimemuona msanii mkubwa yule ambaye anhmgeweza kujenga shule pale kigoma,zahati au hata kiwanda amechoma pesa kwa kujenga msikiti na pale kigoma misikiti imejaa kila mtaa hivi hakuna cha maana zaidi ya misikiti.

My take
Kuna haja mjipange maana mnatumia nguvu kubwa kujaza misikiti lakini maeneo mnayokaa yamejaa changamoto za shule, zahanati, vyuo na kero chungu mzima, jiongezeni

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kwanza kila mmoja ana dhamira yake, wanaamua wasaidie kipi. Usiwapangie cha kusaidia, hata Marehemu Reginald Mengi miaka ya nyuma aliwahi kujenga msikiti kwa kujitolea jijini Tanga na hata siku ya uzinduzi wake alikuwepo tena alipiga kanzu yake safi.... Mbona hamkuwahi kusema hiko?

Hizo shule, hospital au kiwanda hiyo huwezi kuita misaaada bali ni miradi ambayo itaendeshwa na watu kuwaingizia pesa. Maana itahitaji gharama za uendeshaji, kitu ambacho itabidi itoze malipo kujiendesha.

Ule ni msaada na si mradi wa mtu kujinufaisha, wewe unajadili ujasiriamali kupinga suala la mtu kujitolea. Ukisema hatutaki maendeleo.
Upo sawa kweli?
 
Mkuu ulitaka wakupe pesa zakujenga kanisa au? Unaposema lengo la waislam nikueneza dini yao lipi lengo la ukristo? Jje hiyo misaada inayo tolewa ulitaka kila inapotolewa itangazwe? Hizi ni chuki za.wazi kila muislam anacho fanya kuonekana hakina maana. Mbona hizo pesa zinazokuja kutoka urabuni hauzizungumzii?
Pesa zipi za Uarabuni zinazofanya la maana zaidi ya kujenga misikiti?
Nilikuwa nasikiliza Wazanzibar wanamlilia eti mfalme Qaboos wa Oman alikuwa akiwasaidia sana, wakiulizwa ni misaada gani alikuwa akito wanajibu katujengea misikiti, nikajua ndio maana hapa bongo Uislam na Umasikini ni pete na kidole

Makanisa Wakristo hawahitaji kujengewa, wanachanga hela zao na kujenga wenyewe,
 
Pesa zipi za Uarabuni zinazofanya la maana zaidi ya kujenga misikiti?
Nilikuwa nasikiliza Wazanzibar wanamlilia eti mfalme Qaboos wa Oman alikuwa akiwasaidia sana, wakiulizwa ni misaada gani alikuwa akito wanajibu katujengea misikiti, nikajua ndio maana hapa bongo Uislam na Umasikini ni pete na kidole

Makanisa Wakristo hawahitaji kujengewa, wanachanga hela zao na kujenga wenyewe,
Kwahiyo mkuu hapa Tanzania wakristo ndio wanaowalisha waislam? Au hii maada umeileta bada ya waislam kuomba musaada au kuomba kanisa lako?
 
Back
Top Bottom