Hiyo paragraph ya mwisho sijaielewa,,,,,
mbona inapingana na ya juu? au kuna mis understanding kati ya ngazi za juu? otherwise taharifa iko poa, ngoja tuone hatima ni nini? ila kikawaida hawa wawekezaji wananyonyaga sana haki za wenyeji,,,,,na seriali bado inafumbia macho suala...