Recent content by Adelina Johnbosco

  1. A

    Serikali kuboresha kanuni za Sheria ya kupata taarifa (Access to Information) kufikia 2017

    Haihusu waandishi hii,,,,,habari au taarifa inayomaanishwa hapa ni zile (information of the government na si news za tv ama redio au magatezi au blogs)....................
  2. A

    MARA: Nyumba 300 zabomolewa

    Hiyo paragraph ya mwisho sijaielewa,,,,, mbona inapingana na ya juu? au kuna mis understanding kati ya ngazi za juu? otherwise taharifa iko poa, ngoja tuone hatima ni nini? ila kikawaida hawa wawekezaji wananyonyaga sana haki za wenyeji,,,,,na seriali bado inafumbia macho suala...
  3. A

    Sababu ya kuchelewa kwa pesa ya kujikimu vyuoni ni ipi?

    vigezo wanavyo bt mkopo hana mfano, mtu ni yatima, kasoma kayumba schools, walezi hawana uwezo, mahitaji ya kupata mkopo (yaani all process kafanya)
  4. A

    Sababu ya kuchelewa kwa pesa ya kujikimu vyuoni ni ipi?

    Pole sana ndugu, sio kwamba nakukandamiza kwa haya ninayoenda kuyaandika ila , tusaidiane kuwaza. wakati wewe unalia upatiwe hiyo hela, mimi nawawaza wale ambao uwezo wao uko sawa na wako, au pengine chini yako na bahati nzuri au mbaya HAKUPATA MKOPO. Tujuzane la kufanya katika hili.
  5. A

    Waziri Mkuu: Sukari haitakuwa tatizo Ramadhani

    swali wasi wasi wangu ni kwamba, inakuwaje kwa wale ambao tayari bei zao zinazidi hiyo bei ya 2,300/= aliyoisema mkuu?
  6. A

    Zitto Kabwe awasili Polisi Dar kuhojiwa, aachiwa Kwa dhamana

    hapa nakuunga mkono kabisa, uko vizuri ktk ufafanuzi wako,, nahisi hata aliyekosea pahala, atakuwa ameelewa.
  7. A

    Zitto Kabwe awasili Polisi Dar kuhojiwa, aachiwa Kwa dhamana

    mi sijaelewa taharifa hii, amejipeleka polisi au kapelekwa/kaitwa?
  8. A

    Ni mbinu gani nitumie kulipa haya Madeni?

    pole sana kama hii inakusumbua, cha kufanya , ni kuwaza ahadi zako na aliyekupa zilikuwa za mda gani wa kulipana,,,kama mda umepita, hapo tayari umepoteza uaminifu na cha kufanya ni kujitahdi kulipa, kama mda bado na una madeni hayo yote, basi jitahidi sana kurejesha
  9. A

    Nini zaidi, urembo/uzuri wa sura au tabia?

    itakuwaje endapo mwonekano unaopenda mwisho wa siku hana tabia unayotaka, na tayari umeanza mahusiano
  10. A

    Aina za nguo na mitindo ya nywele huongeza urembo?

    Si mimi tu na wewe, kuna baadhi ya watu pia wanataka jua kusuhu hili. ni nguo gani humfanya mtu (mvulana au msichana) aonekane mrembo au mtanashati? je? ni mitindo gani ya kuweka kichwani humpendezesha mtu? Tujuzane
Back
Top Bottom