Myahudi aliyepigwa na Hezbollah ndo mpige Iran bila msaada Myahudi aingie vita na Irani kweli wacha ushabiki kidunia Myahudi wa 18 Irani 14 wapi nawapi
Kwa sasa nchi zinazoongozwa Kwa Sheria za kiislam mi Iran Azabaijan Brunei maleysia Somalia Yemeni Saudi Arabia Mauritania Pakistan Nigeria kaskazin saiv nao Wana utawala wa kiislam huko kaskazin hata mahakama huko wanatumia Sharia chechinia kama kuna nyingine mtaongeza
Yaan najua inakuuma Ila fanya mitihani Kwanza Ila ujue yajayo utafurahia yaan na kama mlikuwa mnaheshimiana niandae maana wewe utakuwa kama mke wa pili wa jamaa usitegemee hayo yataishia hapo ndo Kwanza mchezo umeanza hata ufanye vipi kulikwepa hili hutoweza maana huna cha kumficha tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.