Mi naibia tu mwanzo mwisho kuanzia LA kwanza mpaka master [emoji2] [emoji2] sijawah fikisha SAA tata usiku ingwa nilikuwa pcm ,nyie kesheni tuu kama wachawi
Kupima sio sana NA haina ya dua ,ww sema naomba dua ya kusubiri majibu ndo kaz , ni nilipima Mara sabini NA sijachukua majibu hata Mara moja[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
We haina haja we tafuta Pesa kuwa NA elfu za kutosha kenye mfuko ,then chagua demu unaemtaka then jifanye unaziangusha Pesa halafu ziokote sawa then mwambie nakupenda hao hachomoki ,lakin bila ya Pesa utappteza muda wa kujifunza tu mpaka basi then unaambulia kibao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.