ITV mmewakosea sana watanzania

ITV mmewakosea sana watanzania

Si alikuwa anahutubia wananchi wake Arusha, mnalilia ITV ya nini? Acheni kutaka sifa za kijinga kupitia gereza
 
ITV nilishawadharau siku nyingi,kwa siku hizi bora hata uangalie TBCCM.Nawashangaa sana waandishi wa ITV kuendelea kuinaidi ITV kama super brand africa mashariki.ITV ilikuwa zamani enzi za mkwere,siku hizi walishafulia.
 
ITV itueleze:-
Kama mkutano wa mbunge kwao sio habari, ni nini kinaweza kuwa habari kwao????
Super brand gani hii sasa?
 
Azam 2 ndo hawana upande wowote wajanja wengi tushaachana na ITV wao walionyesha kiundani zaid habar ile hadi wakamhoji live mwandish wao wa Arusha.....big up Azam 2 nyie ndo TV bora 2016 endeleeni kuwakimbiza ....
 
Hiyo sio habari yenye maslahi kwa raifa, hiyi habari itaandikwa kwenye vyombo vya habari vya udaku kule ndo saizi yake sio ITV.
 
Kama mlikuwa makini; ITV hawakutangaza hata siju Lema alipotoka rumande kwa amri ya Rais. Tunajua wakuu wa mikoa na wilaya huweka watu ndani siku mbili lakini Rais alimuweka Lema miezi minne. Nawalaani ITV mtakufa kifo kibaya sana
 
Kwan lazma kumuonesha lema kwenye TV wangap wanafungwa jela miaka mingi NA wakitoka hawaoneshwi kwenye kideo yy kaka miezi minne kilele kibao
 
Kwan lazma kumuonesha lema kwenye TV wangap wanafungwa jela miaka mingi NA wakitoka hawaoneshwi kwenye kideo yy kaka miezi minne kilele kibao
 
Hivi nyie chadema mnashindwa kuwa na tv yenu ionyeshe mambo yenu tu? Sehem hamlipi mishahara wala hamchangii chochote mnatoa mipovu haa
 
Hahahah hawa itv subili ndo maana watu wanapungua kila kukicha kuangalia hii chanel
 
Jamani mnanitia hasira. Naweza kuacha kuangalia ITV kabisa kama nilvyofanya kwaTBC.
 
Hofu, woga, unafiki na unprofessionalism inaangamiza media zetu. wakati mwingine huwa najiuliza hata ITV wameufuata, supper brand EA? ni aibu?.
 
Azam waliionesha hiyo habari ya Lema kwa upana wake! Nini kimewakuta ITV?
 
Wajinga kama ww ndo vipenzi vya sizonje na serekl yake
KAma humpendi Raisi wako hama nchi siyo kila mtu akubaliane na akili zenu...
Kimsingi taarifa ya lema haina masilahi yoyote kwa nchi.
Ukitaka kulijua hilo angalia front Page ya gazeti lenu lá chama Tanzania Daima Habari kuu ni mkutano WA ccm dodoma na safari ya Makonda S. África.
Mbona wao hawajaweka hiyo Habari Ya waziri wenu....!?
Jibu ni wameona haina masilahi yoyote na wala haiuzi....!!!
 
Back
Top Bottom