Itabaki hivyo hivyo selected for oral,pia ni vyema kuendelea kufanya usaili wa post mbalimbali za kada yako Ili kujiongezea WiGo mkubwa wa kupangiwa kituo Cha kazi,maana mtu unaweza kuwa ulifika oral lakini hukupata zile marks za kuwekwa kwenye database au unapata marks za kuwepo kwenye database...
Ina chukua three weeks or one month,or sometimes can take one year kulingana na nafasi zilizopo au kulingana na pass mark yako ndioo itaamua uwe placed kwa muda gani boss,ila usijali utapangiwa kituo Cha kazi tu, endelea kuomba Mungu
Usijali hata kaka utapata tu kazi ,shuhuda Mimi mwenyewe niliingia written nane za PSRS lakini zote mikando ,lakini ya Tisa Mungu akasaidia nikaenda oral na hapo Mungu akanipa kibari nikaingia kwenye utumishi wa umma kaka.kikubwa kuomba na kumtanguliza MUNGU tu na kutia juhudi kwenye kujiandaa...
Sioo kweli kaka ,ila Kila mmoja na Imani yake ,ety bila mganga hutoboi oral utumishi ,mtegemeeni Mungu tu ndioo Kila kitu na wakati wako ukifika unapata kazi vizuri tu ,ushuhuda ni Mimi mwenyewe Sina mtu ninae mjua serikalini Wala kwenda kwa mganga ,ila nilimtumaini Mungu na kusoma vizuri bhasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.