Recent content by adam aman

  1. A

    Kikwete Mzee, popote ulipo pokea Shikamoo yangu

    Mtamkumbuka milele na milele jakaya oyeeeee
  2. A

    Uteuzi wa Wabunge 10: Jicho la kisheria

    Dah! Mkuu nimekuelewa saaana sasa nikuulize jee Raisi akiamua kuwateua wabunge wa tano tu na wote ni wanaume au wanawake asimalize nafasi zote kumi anakua amevunja katiba au silazima kumaliza nafasi zote naomba kufahamu hili
  3. A

    Aboutrika aorodheshwa kwenye list ya magaidi nchi Misri

    Ukiwa muislamu unaitwa gaidi kwahiyo hadi sasa hivi kuna zaidi ya magaidi bilioni mbili na ushehe hivi hawa wote hawa mtawafanyaje ni wengi si waume si wake si watoto
  4. A

    Zitto Kabwe: Nitajiuzulu Ubunge kama Serikali itanionyesha tani milioni 1.5 za Mahindi

    Zitto tunakuamini tunaomba uendelee hivyo hivyo karibia kitaeleweka
  5. A

    Mzee wa Upako, CHADEMA hawana muda wa kukuchafua, Mungu ameamua kuanika tabia yako

    Lusekelo sema yalioandikwa kwenye bibilia ukisoma bibilia nzima hauwezi kuta neno chadema we tuachie chadema yetu
  6. A

    Trafiki waanza rasmi kukamata magari yote yenye taa za urembo, Sports Light

    Dah.nashindwa kubisha pia nashindwa kukubali .lazima ntaijaribu nione
  7. A

    Kama Mungu aliumba mbingu na dunia, sayari nyingine je?

    Mwenyezi mungu kaumba vingi tuvijuavyo na tusivyo vijua
  8. A

    Tunaomba kutangaziwa mapato ya TRA mwezi Disemba 2016 tafadhali

    Hali ya mapato ni kama mvua za mwaka huu
  9. A

    Kamanda wa Malawi aapa kulinda Ziwa Malawi

    Zipigwe tu hamna namna
Back
Top Bottom