Acha uongo mtoa mada
Umetumia Saa zima kupost huu ujinga, umetukana Nacte wa watu bila sababu
Weka guidebook ya Nacte ya diploma mwaka 2018 tuone sehem walipoandika D nne?!
Wengi wanajiuliza swali hili, Je ni muda gani mtu wa kawaida analala wakati wote wa maisha yake?
Ikiwa kiafya inashauriwa kwamba usingizi wa binadamu uwe ni masaa yasiyopungua 8 kwa usiku mmoja (yaani moja ya tatu ya siku ambayo ina saa 24)
Basi binadamu mmoja hulala moja ya tatu ya maisha...
Sasa Kwan hujaelewa k2 gan apo au we ndo mgawaji marks za wanaotype umu JF [emoji848][emoji848][emoji848]
Tatizo hujajua watu wanavyokomaa na hizi kombi za sayansi na kila mwanafunzi ana uwezo wake wa Kiakili ndio mana TCU waliokuzidi akili wakaweka minimum entrance points
Acha kuropoka...Au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.