mmmmh huo ulikua upepo tu na umeishapita,sasa hivi tunasoma report za kukinzana za mauaji ya Daudi Mwangosi(ambayo nayo upepo tu utapita)walau upepo kwa sasa unavuma kwa "kukojolewa quran"na uchomaji makanisa na mauaji ya barlo.
right to be heard?lissu anaseme hawakusikilizwa hao madaktari.?yani mwanasheria huyo anasahau kua madaktari were given not only right to be heard but also an adequate oportunity.kama anakumbuka Mwakyembe wakati anatoa report ya Richmond pia alilalamikiwa na Lowasa kua hakumpa nafasi ya...
duh aisee yani mkuu hapa huwezi kupata jibu la swali lako(kwa nini wasichana wanatoa mimba)maana wasichana wa humu jf amabao wamesoma uzi wako wanajua sababu kwa nini wao walitoa mimba.any way naona hiyo picha inaonesha jinsi wanavyochoropoa mimba ila sio sababu za wao kuchoropoa mimba.subiri...
hiyo ni amri na sio hukumu.ok anaweza kua amekosea kutype neno plaint na kutype plant that is sleep of the key board.kukosea hilo neno hakuwezi kumfanya aonekane kilaza.ameliandika saaana tangu yuko chuo.kimsingi hao majaji wanaotaka legal paper(karatasi za kijani) wanakeera kwani in practice...
yani wamekataa hoja ya lissu ya kujadili janga la meli kwa technicalities eti hakuiwasilisha kama kanuni za bunge zinavyotaka.Job anamtetea mwanasheria mkuu wa serikali eti hakusema maneno ya maudhi,
CDM,CUF ndo naona wametoka
eeeh kweli hata mie tbccm wamenipotosha mie nikadhani bi kiroboto amekubali hoja ya nchimbi kuhairisha bunge kutokana na kuzama kwa meli kumbe alishaikataa hoja hiyo baada ya kutolewa na Rashidi?aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.