Weka hapa Update!
kwa mfumo huu ni dahahili hatuwezi kufkaHii ni kauli ya Mwanasheria Mkuu Bungeni kwa TUNDU LISSU.
Kauli hii imepelekea Lissu na wabunge wengine wa CDM kutoka nje ya Bunge.
Naibu spika amepinga Mwanasheria mkuu hajasema hivyo, na wabunge wa CCM wanapiga makele wakidai Lissu hakumsikia mwanasheria mkuu vizuri.
Tutafuka?
Lissu anawachokonoa nao wanalipuka Alijua tu hawawezi kukubali ila taarifa itakuwa imeenda kwa watanzania wote kwamba kwa mara ya pili imekataliwa. Chuki kwa wazanzibari inazidi.
Lisu anajua sheria na ana hoja mara ishirini zaidi ya Werema.atake asitake hata wakiingia darasani Lisu atamuacha mbali sana Werema.
katika kutengeneza mazingira kukwepesha ombi la Lissu juu ya kutoa hoja ili kujadili ajali ya mali iliyotokea juzi, AG- Werema ametumia kauli tata na ya matusi ikiashiria kwamba Lissu japo ana nywele lakini huwezo wa kufikili hana. jambo ambalo limezua mjadala hasa baada ya Lissu kuomba utaratibu na kumtaka Naibu Spika amwamulu AG-Werema afute maneno yake na Naibu Spika kakataa kukubaliana na Lissu; kuona hivyo Lissu kahamua kutoka nje kitendo hicho kimeitikiwa na baadhi ya Wabunge.
Lissu anawachokonoa nao wanalipuka Alijua tu hawawezi kukubali ila taarifa itakuwa imeenda kwa watanzania wote kwamba kwa mara ya pili imekataliwa. Chuki kwa wazanzibari inazidi.
Tatizo la CCM ndiyo hilo KUPINGA kila Hoja inayoletwa WAPINZANI. Hiyo MINDSET ndiyo inamtesa leo Spika Anne Makinda juzi alipokataa hoja Hamad Rashid.
Even my STD I hero knows that Tundu Lissu is clever than Werema