Stanleyabra
Member
- Jul 15, 2012
- 12
- 2
Hizi ni habari za kweli meli ni ya abiria na mizigo na inauwezo wa kubeba watu 250. Tumwombe Mungu ili watu waokolewe kwa usalama.
Sasa kati ya CCM na CHADEMA nani wana operation Sangara. Na sangara tunajua ni samaki kama usemayo ni kweli basi sisi Chadema tunatumia njia ya maji kuwafanya wananchi wawe chakula cha wanyama waishio majini. Acha kutuhaibisha wenzako bwana Episodesccm wanatoa kafara hapo
ccm wanatoa kafara hapo
Jamani ni juzijuzi tu balaa ilitokea sasa watatueleza nini wahusika na wale wasimamizi juu ya meli hii heeeeeeeeee mwe:eek2:
Uongozi dhaifu hakuna wakaguzi kabla chombo hakiondoka kazi ya ccm hiyo .