Hukumu ambayo haijawahi kutokea

Democrasia

Member
Feb 1, 2008
79
3
Jamani naombeni muweze kupitia hii hukumu kwa wale wanataaluma wa sheria waweze kushauri pale inapowezekana

Naomba kuwasilisha
 

Attachments

  • JUDGEMENT.jpg
    JUDGEMENT.jpg
    68.5 KB · Views: 1,345
Hicho ulicho attach hakionekani vizuri labda ufafanue kwa maelezo
 
Jamani naombeni muweze kupitia hii hukumu kwa wale wanataaluma wa sheria waweze kushauri pale inapowezekana Naomba kuwasilisha
Ndugu yangu, Hiyo ni amri tu ya Mahakama na si hukumu. Lakini pia katika Majaji vilaza ambao nafikiri Lissu anaweza pia kuwa amewaongelea katika ile hotuba yake ni huyu Jaji Chinguwile,tangu akiwa High Court Land division alikuwa kituko,si tu kwenye maamuzi anayoyafikia bali pia namna ya hukumu anazozitoa,ni kilaza kwelikweli. Lakini najiuliza pia,kama karatasi zilizotumika kufungulia hiyo kesi si kama zile zinazotakiwa kwa mujibu wa maelekezo ya Jaji Mkuu,kama Chingyuwile alivyosema, how was the case admiited? How was it assigned to her? Yaleyale ya akina Werema ya kufikiri kwa kutumia masaburi,poor judicial system of Tanzania. Watu sasa sijui wakimbilie wapi kupata haki zao kama majaji wenyewe tulionao ndiyo wa namna hii
 
Sina matatizo na uamuzi kwa sababu Judge can reject a plaint - actually the Registrar could have done it. But in this case I am not sure about the CJ's directive which the Judge seemed to have based her decision on and unfortunately she did not complete the citation.
 
Ndugu yangu, Hiyo ni amri tu ya Mahakama na si hukumu. Lakini pia katika Majaji vilaza ambao nafikiri Lissu anaweza pia kuwa amewaongelea katika ile hotuba yake ni huyu Jaji Chinguwile,tangu akiwa High Court Land division alikuwa kituko,si tu kwenye maamuzi anayoyafikia bali pia namna ya hukumu anazozitoa,ni kilaza kwelikweli. Lakini najiuliza pia,kama karatasi zilizotumika kufungulia hiyo kesi si kama zile zinazotakiwa kwa mujibu wa maelekezo ya Jaji Mkuu,kama Chingyuwile alivyosema, how was the case admiited? How was it assigned to her? Yaleyale ya akina Werema ya kufikiri kwa kutumia masaburi,poor judicial system of Tanzania. Watu sasa sijui wakimbilie wapi kupata haki zao kama majaji wenyewe tulionao ndiyo wa namna hii

Nafikiri Mh. T.A. Lisu alikuwa anawazungumzia Majaji kama hawa, huu ni ushahidi tosha ikiwa Mh. F. Werema (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) ataendelea na dhamira yake ya kumshitaki Lisu. Soma mstari wa mwisho... "The plant is hereby rejected..........." Kumbe kazi mojawapo ya majaji ni kukataa mimea(Plant)
 
Nafikiri Mh. T.A. Lisu alikuwa anawazungumzia Majaji kama hawa, huu ni ushahidi tosha ikiwa Mh. F. Werema (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) ataendelea na dhamira yake ya kumshitaki Lisu. Soma mstari wa mwisho... "The plant is hereby rejected..........." Kumbe kazi mojawapo ya majaji ni kukataa mimea(Plant)

thanks for making my day! hahahahahaha:caked:
:caked:
 
Kabla Jogoo hajawika ushahidi uko nje juu ya alicho sema Lissu kazi kwao akina Werema sasa
 
Sina ueledi saaana katika taaluma ya sheria, lakini nakuunga mkono kwamba huyu jaji ni kilaza na kama siyo kilaza basi anatengeneza mazingira ya kupindisha sheria. Hii ndiyo aina ya majaji tulionao na tunategemea haki itendeke. Katzi bado tunayo inabidi kupambana bila kukoma wala kuchoka.
 
Hiyo ni kawaida kabisa, kesi yako inaweza kutupwa hata mistari ikiwa haijapangwa kama kanuni zinavyoelekeza.
 
hiyo ni amri na sio hukumu.ok anaweza kua amekosea kutype neno plaint na kutype plant that is sleep of the key board.kukosea hilo neno hakuwezi kumfanya aonekane kilaza.ameliandika saaana tangu yuko chuo.kimsingi hao majaji wanaotaka legal paper(karatasi za kijani) wanakeera kwani in practice karatasi nyeupe nazo zimekua zikitumika.yani anakataa plaint kwa technicalities na anajua Article 107 ya katiba inavyosema kuhusu kukosa kutoa haki kisa technicalities.tena hasemi under which rule of chief justice inataka kutumia legal paper.
hapo amewachelewesha tu wadai wataenda na kutumia karatai hizo anazotaka.amekaa miaka sita kama jaji lakini naye anawekwa kwenye majaji wa voda fasta.....
 
Kwa kweli, iwe amri au hukumu lakini mbona kizungu naona km hakiko sawa kwenye maelezo-'plaint has been filed... na plant is hereby rejected' kweli sawa km sio terminology za kisheria? Au ndio vilaza alikokuwa anawaongelea Tundu Lissu kuwa hata kizungu fasaha hawakiwezi kukiandika.
 
Back
Top Bottom