App inapatikana google play store kwa jina la Ufugaji au ipakue kupitia kiunganishi hiki
https://play.google.com/store/apps/details?id=ifugaji.app.tanzania.kilimo
Au nenda moja kwa moja kwenye Tovuti ya Ufugaji kupitia kiunganishi hiki hapa chini
(no title)
Wana Jf,
naombeni msaada nime attach hapa word doc kuna maneno nataka kuyaedit yananishinda, naeditije na je ni software gani imetumika kutengeneza hayo maneno. Natanguliza shukrani.
Nina Sony Experia Z inatatizo kama hilo, sikumbuki nini kilisababisha. Nahisi kati baada ya kubsdili display au baada ya ku upgrade kwenda lolipop. Nimejaribu kuidowngrade wapi. Nikiwa natumia inaoata moto kisha inajizima. Ukiiwasha ina onyesha adroid is upgrading baadaye ina optimize apps...
Hii ya kuscan code ilikuwepo tangu zamani. Sijui kama kunajipya wameweka, shifa kwangu ilikuwa kila ukizima simi ukiwasha lazima uscan code. Na kudcan inachukua muda. Labda kama wamerahisisha. Wangefanya kama Teregram ningeona wamefanya big up
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.