tafuta s5 mini then tafuta battery yake yenye 6500mAh from ebay.com au aliexpress.com uinjoi maishaKama kichwa cha habri kinavyojieleza naomba mnishauri brands and type ambazo naweza pata kwa bei hiyo
Hiyo berry kiboko itakua inakaa hata siku 3tafuta s5 mini then tafuta battery yake yenye 6500mAh from ebay.com au aliexpress.com uinjoi maisha
yap ziko njema sana mkuu natumia moja apa kwa s4 mini ni siku 3...Hiyo berry kiboko itakua inakaa hata siku 3
Ila shape inakua mbayaHiyo berry kiboko itakua inakaa hata siku 3
Hivi battery za aina hii kwa s5 ya kawaida zipo (ambayo siyo min) zenye uwezo wa kukaa na charge 3 days?tafuta s5 mini then tafuta battery yake yenye 6500mAh from ebay.com au aliexpress.com uinjoi maisha
Yan ununue simu used kwa laki 7?? Una akili kweli wwKwann usutafutte Lg. G4. used
Kama kichwa cha habri kinavyojieleza naomba mnishauri brands and type ambazo naweza pata kwa bei hiyo
Ficha ujinga, amekuambia ana shida na kibanda?hatulingani maisha na hata machaguo pia, anataka simu we unamwambia kibandaSawa, lakini jiulize utapata faida gani ikiwa kwenu kijijini hauna hata kibanda cha mavi ya ng'ombe. Huoni kama hizo laki 7 zitanunua mavi ya ng'ombe ya kutosha pamoj na cement kujenga kibanda cha bibi yako?
Acha kushangaa Mkuu, nicheki 0654776976, au njoo dukani kwangu nikupe simu kali mpyaa tena yenye uwezo wa 4G na vifaa vyake vyote, chagua kati ya hiz, zote ni kali ila chagua mwenyewe brand unayopenda kati ya LG G4 ya 32GB, samsung note 4 ya 32GB, samsung A7 ya 16GB, huawei P8 64GB, Samsung galaxy s6 ya 32GB, Huawei Mate 7 ya 32GB, Sony Xperia z4 ya 32GB au Iphone 5s ya 64GB....karibu!!Kama kichwa cha habri kinavyojieleza naomba mnishauri brands and type ambazo naweza pata kwa bei hiyo
Halafu kila siku mnalalama JPM kabana pesa... Simu laki saba??Ficha ujinga, amekuambia ana shida na kibanda?hatulingani maisha na hata machaguo pia, anataka simu we unamwambia kibanda
Watu wanahela zao na matumizi yao...we km simu kali sio inshu kwako umezoea vitochi, pita kule..acha kutoa macho!!!Halafu kila siku mnalalama JPM kabana pesa... Simu laki saba??