Bro, habari yako!.
Kila kozi ina ugumu wake na wepesi wake, ni utayari wako tu kuwa umejipangaje na masomo ya huku.
Binafsi niko Sua kwahyo najua uzito na wepesi wa kozi zote hizo. Jiamini na jua tu shule bado inaendelea!
ANIMAL SCIENCE NA UPANA WAKE KWA KUJIAJILI ZAIDI NA SIO KUAJILIWA!.
Habarini ndugu zangu!;
Kama mada ilivyojitambulisha
Naomba tu kwa anaefahamu kuhusu kozi hii , hasa kwa kujiajili zaidi na upana wake!...ipoje!
KARIBUNI!
Natanguliza salamu pia...
Mashamba yapo kama hutojali yakununua na yakukodi na hayana migogoro yeyote ile!...sema tu yapo eneo tofauti na ulitakalo! Tunaweza kuwasiliana kama hutojali!...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.