Habari wakuu,
Ninaomba kupewa muongozo au msaada kua kati ya kozi hizo tatu za kilimo ipi ina tija na ni nzuri haina usumbufu mwingi mbeleni kwa pale SUA.
Pia, soko lake zuri iwe kwenye kujiajiri au kuajiriwa
Nahitaji kuchukua moja wapo hapo nikipewa faida na hasara itanisaidia kutambua wapi nikae.
Ninaomba kupewa muongozo au msaada kua kati ya kozi hizo tatu za kilimo ipi ina tija na ni nzuri haina usumbufu mwingi mbeleni kwa pale SUA.
Pia, soko lake zuri iwe kwenye kujiajiri au kuajiriwa
Nahitaji kuchukua moja wapo hapo nikipewa faida na hasara itanisaidia kutambua wapi nikae.