Ubora wa vyuo vikuu vya binafsi Tanzania

mbinguni

JF-Expert Member
Jan 2, 2013
2,746
1,051
Ni miaka kadhaa sasa tangu serikali iruhusu utoaji wa elimu ya juu kupitia vyuo binafsi.

Je, vyuo hivi vimeweza kutoa bidhaa inayotakiwa na mlaji sokoni kuliko vyuo vikuu vya umma?

Karibu kwa majadiliano.
 
Regulator ni mmoja TCU by product inategemea na mtu. Unaweza lisha ngombe chakula sawa ila wakatoa maziwa kiwango tofauti
 
Unavyozungumzia vyuo vya Umma utafikiri unazungumzia Havard University..
 
Unavyozungumzia vyuo vya Umma utafikiri unazungumzia Havard University..
Hapana boss. Nadhani kwa wakati tulionao,kama sekta binafsi ikipewa mazingira sawa ya ushindani,itafanya vizuri kuliko sekta ya umma. Duniani kote,sekta binafsi ndio msingi wa taifa mahalia. Hapa kwetu tunalazimisha kuiua sekta binafsi tukidhani sekta ya umma itaweza kutoa huduma tarajiwa na iliyo bora kwa raia mahalia. Bila sekta binafsi,hakuna taifa
 
Vyuo vikuu binafsi viko vzr zaidi kuliko vya umma. Vyuo vikuu vya umma vinapata ruzuku na support nyingi sana toka serikalini, lakini elimu na huduma katika vyuo vikuu hivyo ni mbaya mno na ovyo kabisa. Huwa najiuliza wasingekuwa wanapata support hiyo, hivyo vyuo vikuu vingekuwaje ?
 
Vya kidwanz saana kuna kimoja kinaitwa st thomas kipo ruvuma kuna dogo langu mwaka wa pili unakata hajapata vyeti najiandaa kutafuta vifungu vya sheria niwaburuze mahakamani....

Na kimesajiliwa vizuur tu na nacte
 
Vyuo vikuu binafsi viko vzr zaidi kuliko vya umma. Vyuo vikuu vya umma vinapata ruzuku na support nyingi sana toka serikalini, lakini elimu na huduma katika vyuo vikuu hivyo ni mbaya mno na ovyo kabisa. Huwa najiuliza wasingekuwa wanapata support hiyo, hivyo vyuo vikuu vingekuwaje ?
Hebu kuwa serious mkuu! At least ona haya basi
 
Vya kidwanz saana kuna kimoja kinaitwa st thomas kipo ruvuma kuna dogo langu mwaka wa pili unakata hajapata vyeti najiandaa kutafuta vifungu vya sheria niwaburuze mahakamani....

Na kimesajiliwa vizuur tu na nacte
Mkuu
Hebu Tuelezee Vema Hili, Maana Nami Nina Ndugu Yangu Alimaliza Diploma Chuo Cha Utumishi - Singida Mwaka Jana
Matokeo Yametoka, Mahafari Yamefanyika
Alipofuata Cheti Anaambiwa Hakuna Mpaka Aandike Barua Kuomba Cheti Kitengenezwe

Nimeshangaa Kabisa, Yaani Kapigwa Danadana Na Mkuu Wa Chuo, Mkuu Wa Kitengo
Shida
 
Vyuo vikuu binafsi viko vzr zaidi kuliko vya umma. Vyuo vikuu vya umma vinapata ruzuku na support nyingi sana toka serikalini, lakini elimu na huduma katika vyuo vikuu hivyo ni mbaya mno na ovyo kabisa. Huwa najiuliza wasingekuwa wanapata support hiyo, hivyo vyuo vikuu vingekuwaje ?
Na ndo mana zikaitwa za serikali...
 
Mkuu
Hebu Tuelezee Vema Hili, Maana Nami Nina Ndugu Yangu Alimaliza Diploma Chuo Cha Utumishi - Singida Mwaka Jana
Matokeo Yametoka, Mahafari Yamefanyika
Alipofuata Cheti Anaambiwa Hakuna Mpaka Aandike Barua Kuomba Cheti Kitengenezwe

Nimeshangaa Kabisa, Yaani Kapigwa Danadana Na Mkuu Wa Chuo, Mkuu Wa Kitengo
Shida
Hii inatokea saana kutegemea na uzembe unaofanywa na chuo katika kusubmit matokeo nacte....

Huwa hawafati ratiba.. Na nyaraka hazitimii....

Ni uzembe tu.
 
Hii inatokea saana kutegemea na uzembe unaofanywa na chuo katika kusubmit matokeo nacte....

Huwa hawafati ratiba.. Na nyaraka hazitimii....

Ni uzembe tu.
Nadhani ifike wakati taasisi ya elimu waachiwe watu wenye weledi waiongoze. Nje ya hapo tutaendelea kuwa na ma-vyuo mengi ya umma ambayo tija yake kwa taifa ni mfu. Taasisi binafsi inafanya vizuri sana nyakati zote kwa mujibu wa historia ktk nyanja ya sekta ya elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom