TCU yafungua dirisha la udahili awamu ya nne

Rafiki yangu ana GPA YA 4.7. FOUNDATION PROGRAM YA OPEN SCIENCE (PCM) KAKOSA ZOTE. MSHAURINI JAMANI.
 
SUA umejaribu?
Nimejarib sana napo nikakosa ila wapo ambao walikuwa na ufaulu kama wangu ila wao walijaza course zenye competition ndogo for first round wakapata kwa mfano aquaculture, na ile ya family consumer Hata tourism management walipata ila mm sikujua nikajaza zenye competition kubwa na awamu ya tatu zilikuwa zote zimejaa
 
Nimejarib sana napo nikakosa ila wapo ambao walikuwa na ufaulu kama wangu ila wao walijaza course zenye competition ndogo for first round wakapata kwa mfano aquaculture, na ile ya family consumer Hata tourism management walipata ila mm sikujua nikajaza zenye competition kubwa na awamu ya tatu zilikuwa zote zimejaa
Kwa ushauri wangu ...kama hutojali jaribu tena kuomba round ya 04 kama itakuwepo na kwenye coz jaribu kuweka kozi zisizo na ushindani ili kusudi ukishapata nafasi katika kozi hizo ,itakubidi uwahi chuo mapema sana kwa ajili ya kuanza mchakato wa kubadili kozi ,
Kwa maelezo zaidi nicheki inbox kama hutojali Kuwa na amani! #+255759066902
 
Nimejarib sana napo nikakosa ila wapo ambao walikuwa na ufaulu kama wangu ila wao walijaza course zenye competition ndogo for first round wakapata kwa mfano aquaculture, na ile ya family consumer Hata tourism management walipata ila mm sikujua nikajaza zenye competition kubwa na awamu ya tatu zilikuwa zote zimejaa
Ooh nashukuru kwa ushauri wako nitaufanyia kazi
 
Nimejarib sana napo nikakosa ila wapo ambao walikuwa na ufaulu kama wangu ila wao walijaza course zenye competition ndogo for first round wakapata kwa mfano aquaculture, na ile ya family consumer Hata tourism management walipata ila mm sikujua nikajaza zenye competition kubwa na awamu ya tatu zilikuwa zote zimejaa
Zenye competition kubwa kama zip
 
jamaan angalien uhalisia wa matokeo yenuu..kuna watu humu hawana matokeo mazur sana ila walishapata vyuo toka round ya kwanzaa...

chuo na course husika vita tegemea uhalisia wa matokeo yako...
 
Hichi ndio kile kipind ambacho ndoto hupotea..unataka kuwa engineer mwishowe unajukuta unasomea uhasibu..

wengine kama sis kipind kile tunaombaga tulikosaga programme za choice yetu lkn tunamshukur mung programme tulizo soma tumezifurahia na kuzipenda kuliko ya zile tulizokuwa tunazitaka...wengine tulimshukur mungu kwa kutuepusha na balaa lile ambalo tulikuwa hatujalionaa...
 
Tume ya vyuo Vikuu Tanzania(TCU), imefungua dirisha la udahili kwa awamu ya nne utakaoanza Oktoba mosi hadi 4, mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Septemba 25, Katibu Mtendaji wa TCU, Profesa Charles Kihampa amesema lengo ni kutoa fursa kwa wananchi ambao hawakuweza kuahiliwa katika awamu tatu kupata nafasi hiyo.

Amesema tume imepokea maombi pia kutoka kwa vyuo ambavyo bado vina nafasi kuhitaji kuongezwa muda wa udahili.

“Tume imeongeza muda wa udahili kwa kufungua dirisha la udahili kwa awamu ya nne utakaoanza Oktoba mosi hadi 4,mwaka huu,” amesema profesa Kihampa.

Amevitaka vyuo vyote vya elimu ya juu kubainisha proramu zenye nafasi ili kuwawezesha waombaji kufanya maamuzi sahihi wakati wa kutuma maombi ya udahili.
Amewakumbusha waombaji wote kuwa masuala ya yanayohusiana na udahiliama kuthibitisha yawasilishwe moja kwa moja katika vyuo husika na si TCU.
 
Habari za jion wadau samahn mm nimeomba chuo round ya kwanza mpaka ya tatu sijapata chuo nimesoma Cbg na ufaulu wangu two ya 12 je nauliza kuna uwezekano wa kufungua dirisha kwa awamu ya nne kwa mwaka huu mwenye uzoefu tafadhali

=====================================

Tume ya vyuo Vikuu Tanzania(TCU), imefungua dirisha la udahili kwa awamu ya nne utakaoanza Oktoba mosi hadi 4, mwaka huu.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Septemba 25, Katibu Mtendaji wa TCU, Profesa Charles Kihampa amesema lengo ni kutoa fursa kwa wananchi ambao hawakuweza kuahiliwa katika awamu tatu kupata nafasi hiyo.

Amesema tume imepokea maombi pia kutoka kwa vyuo ambavyo bado vina nafasi kuhitaji kuongezwa muda wa udahili.

“Tume imeongeza muda wa udahili kwa kufungua dirisha la udahili kwa awamu ya nne utakaoanza Oktoba mosi hadi 4,mwaka huu,” amesema profesa Kihampa.

Amevitaka vyuo vyote vya elimu ya juu kubainisha proramu zenye nafasi ili kuwawezesha waombaji kufanya maamuzi sahihi wakati wa kutuma maombi ya udahili.
Amewakumbusha waombaji wote kuwa masuala ya yanayohusiana na udahiliama kuthibitisha yawasilishwe moja kwa moja katika vyuo husika na si TCU.
nilijua lazima kuna vyuo vitakua na upungufu wa wanafunzi
 
Back
Top Bottom