Hawa wananchi wamejenga huko baada ya kupewa hati na watendaji wa serikali, sasa hao watendaji wamechukuliwa hatua gani? Kibinadamu kama wanabomolew serikali lazima iandae mazingira ya kuwaweka hata kwa muda ili wapate uwezo wa kujikimu. Kushabikia suala eti kubomolewa hizo nyumba ni kwa ajili...
Ikumbukwe kuwa pia Lowassa aliwanyanyasa wafanyabiashara ambao hawakuisapoti ccm wakati yeye na kikwete wanaingia madarakani 2005, kwahiyo naunga mkono hoja coz inawezekana kutokana huyu jamaa ni mtu wa visasi sana inawezekana alipanga kuwanyanyasa wafanyabiashara ambao hawakuinga mkono cdm...
Nimekubali sana uchambuzi wako mkuu, ila kwa kuongezea kidogo ni kuwa, mazingira ya kisiasa ya nchi yetu hayajaegemea sana ukabila kama ilivyo kenya. Lowassa hata kama angesema lolote, athari yake ingekuwa dogo.
Jengine ni kuwa, baada ya jumuiya za kimataifa (pengine kasoro chache) kuupongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.