Kama wewe ni msafi kama unavyo dai tueleze tuhuma dhidi yako ya ku pewa fungu na wenye vitalu ili utunyime quota ya Kuwinda sisi watanzania huku Arusha maana mpaka sasa tunaamini hakuna Vibali vinatolewa la simanjiro wala Monduli hivi kweli alafu unataka tulinde mali asili zetu wakati wanao...
Nyalandu kama waziri hakukosea huyo songorwa Alisha simamishwa na nyalandu kutekeleza maamuzi ya tume ya bunge tena songorwa Alisha sema uongo mbele ya bunge kuhusu Yule mama alie uawa Babati kweli Katibu Mkuu wa maliasili Hana haki ya kumrudisha baada ya ku simamishwa kwani ni kimdhalilisha...
Ndugu zangu naomba ushauri je ungonjwa wa taifod upo? Manake ukienda hospitali Kupima una ambiwa una taifod ukikutana na marafiki wanakuambia uongo hio taifod haipo Tanzania sasa ni lipi la ukweli?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.