Recent content by abusaleh

  1. A

    Picha zinaogofya:Palestina vs Isiraeli

    huyo ndio mauaji yanayo fanywa na wa Israel
  2. A

    Picha zinaogofya:Palestina vs Isiraeli

    sikiliza hitler anasemaje kuhusu waisrael
  3. A

    Nyalandu akana ujangili, akiri kuwa mpiga debe urais wa Membe

    Kama wewe ni msafi kama unavyo dai tueleze tuhuma dhidi yako ya ku pewa fungu na wenye vitalu ili utunyime quota ya Kuwinda sisi watanzania huku Arusha maana mpaka sasa tunaamini hakuna Vibali vinatolewa la simanjiro wala Monduli hivi kweli alafu unataka tulinde mali asili zetu wakati wanao...
  4. A

    Urais si Makinda tu, Tibaijuka, Migiro nao wamo kwenye mbio hizo kuelekea 2015

    Wanawake hawafai kabisa kuongoza nchi bora akatafute kazi nyingine
  5. A

    Werema: Nina watoto halafu natukanwa?

    Asie taka kuota ndota basi asilale wewe hutaki kutukanwa basi usitukane
  6. A

    Simon Group na Ridhiwani Kikwete wana uhusiano gani?

    Lipi la ajabu kijana mtafutaji tafuta na wewe au mlitaka apate Mzungu ndio mgefunga midomo kuweni na akili acheni roho mbaya
  7. A

    Ushuru wa Prado

    Samahani ni ya mwaka 2004
  8. A

    Rais Kikwete amjulia hali mama mzazi wa Zitto Kabwe leo

    Jk ni Rais mwenye huruma hongera sana Rais wetu
  9. A

    Ushuru wa Prado

    Wakuu naomba msaada kujua ushuru wa Prado cc 2690 ya mwaka 2014 nimenunua dola 13500 ushuru wake unaweza kua ngapi?
  10. A

    Herufi ya mwanzo ya jina lako inabeba tabia yako

    Ni kweli kabisa jina langu linaanzia na s
  11. A

    Ni Haki Kikwete kutumia Ndege ya Serikali kuhudhurua sherehe ya Kuapishwa Ridhwan?

    Hata kama kweli ataenda dodoma sio ajabu ni Rais wa nchi sioni baya Kikwete ametufanyia mengi sana sioni ubaya
  12. A

    Nyalandu amfukuza Songorwa mbele ya wabunge

    Nyalandu kama waziri hakukosea huyo songorwa Alisha simamishwa na nyalandu kutekeleza maamuzi ya tume ya bunge tena songorwa Alisha sema uongo mbele ya bunge kuhusu Yule mama alie uawa Babati kweli Katibu Mkuu wa maliasili Hana haki ya kumrudisha baada ya ku simamishwa kwani ni kimdhalilisha...
  13. A

    Wakuu nimechanganyikiwa - daktari yupi yuko sahihi?

    Ndugu zangu naomba ushauri je ungonjwa wa taifod upo? Manake ukienda hospitali Kupima una ambiwa una taifod ukikutana na marafiki wanakuambia uongo hio taifod haipo Tanzania sasa ni lipi la ukweli?
  14. A

    Jua haki yako unapokamatwa na Polisi

    Mkuu labda kwa nchi nyingine sio bongo
Back
Top Bottom