Umefeli sana kaka mkubwa.. Tuanze na hapo kuwatumia Dada zake screen shot yani hyo ni dhairi inaonyesha ww ni dhaifu ndio maana umetaka approval kwa Dada zake na kuwasibitishia kuwa ww huna makosa bali ni ndugu yao..kama umeona ana ku disrespect kupitiliza Unarudisha tu kwao ataenda kujieleza...
Miaka 30..nina watoto wa 5 watoto wa 4 tiyar wanasoma.. Nina wake wawili wote nimewapangia.. 😅😅😅.. Sina Asset zaid ya viwanja tu huko ndani ndani mwisho wa upepo 😅😅.. .
Hii ni hoja yenye kueleza kuhusu historia ya eneo ambalo leo linajulikana kama Palestina na Israel kwa mtazamo wa kihistoria, lakini kuna masuala kadhaa yanayohitaji kufafanuliwa zaidi ili kupata uelewa kamili wa historia ya eneo hili, ambalo limekuwa na utawala mbalimbali kwa kipindi kirefu...
😅😅😅Jamaa amekuambia ukweli na hualisia wa Ulimwengu juu ya Elimu... Tumia akili kutafakari utamuelewa ila ukitumia hayo makaratasi yako unayoita Elimu hutomuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23]usijali ndugu apo una andaliwa. Ila hata hvyo ww una nafuu kubwa sana.. Ndugu yangu mm nilipitia hiyo hali huku Nina familia ya wake wawili na watoto wanne.. Hali ya kuwa watoto wawili tiyar wanaenda shule. Nilipitia hyo hali kwa kipindi cha miezi 8 ila mwisho wa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.