There is no life after death, ni uongo

There is no life after death, ni uongo

Hakuna maisha baada ya kufa, maisha yapo hapa, ukiwa hai. Tenda wema, ukiondoka watu wakukumbuke kwa wema. Ukitendewa ubaya, tafuta haki hapa, hakuna haki baada ya kufa. Ukifa, unaoza na kurutubisha ardhi kwa faida ya walio hai, kama ilivyo kwa any organism.
Ni mtizamo tu
 
Kila chenye mwanzo kina mwishi
Mwili unamwishi ila sio nafsi
Ila pia inategemea kama ulitoka kwa Mungu ww ni wa milele
 
Yapo Maisha baada ya mnachokiita kifo.. Kama hakuna Maisha baada ya kufa basi hata haya maisha yangekuwa hakuna..
 
Watibeti wanaiita "Bardo",the state of life after death and before one is born.
Tazama jinsi neno "Bardo" linavyofanana na neno letu( la Kiswahili), "bado".
Nilikuwa Jeshini, nilikuwa Air Force wakati ule, war was raging at that time,nadoma kitabu cha Lobsang Rampa.
Afisa anakichukua kile kitabu,anacheki cover anasoma,"Huyu mtu aliyeanfika hiking kitabu anaamini kuna maisha baada ya kifo. Ha ha ha!'
Halafu rubani wote pale tunacheka,"Ha ha ha! Life after death! Ha ha ha."
Halafu mimi nasema," But I did not buy the book to read about life after death. I just bought it because it is a yoga book"
 
Back
Top Bottom