Hahaha..tatizo lenu huwa mnamchukulia Rais kama mkuu wa serikali tu na mnasahau kuwa kwa mujibu wa katiba pia ndiye mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, ukiyaelewa mamlaka ya Rais kama mkuu wa nchi basi usingeandika hiki kitu hapa.
Ni upuuzi kulifanya hili swala ni la CCM au vinginevyo, CCM inasaini mikataba tangu lini? CCM inatunga sheria za nchi? ni kifungu kipi ndani ya katiba inayoainisha kwamba CCM ndicho chombo cha kutunga sheria? kipi bora kama watu wale wa CCM walifanya ya hovyo na sasa wanajisahihisha na watu...
Ni wapi kumuonesha kwamba hiyo certificate ni ya Acacia? akili zenu sijui huwa mnazipeleka wapi, hiyo barua ni ya mwezi jana tu ikiwajibu Acacia barua yao ya ombi la kuchange jina, yaani Acacia wameomba kuchange jina mwezi jana baada ya kuona kisheria tutawabana endapo wakitaka kulipeleka swala...
Hakuna cha ugt hapo, ni juzi tu walimshangilia bungeni na kudai kwamba wamemmis, iweje leo wanamnanga tena? waendelee tu kummis tuzijue rangi zao sahihi.
Huwa mnachekesha sana wakati mwingine, Rais keshaagiza wahojiwe, huwezi kuhojiwa kwa tuhuma za kijinai bila kukamatwa, na ili ushahidi usiharibiwe ni lazima uwekwe mahala salama, sio lazima Rais aseme wakamatwe ndo uelewa watakamatwa.
Kilaza kama wewe ndo kutwa kucha mnamtukana Bashite, ni wazalendo kwenye mataifa yao wanakopeleka kuwekeza faida waipatayo, kumbuka hata ACASSIA wenyewe ni wanachama so ulitegemea wasimtetee mwanachama wao?
Mnapinga jambo gani? upumbavu uliokithili umewajaa, tume haijamaliza kazi yake na wala haijawasilisha chochote kwa Rais ajabu kila uchao mijitu inabwabwaja utumbo tu humu, hivi nikikuuliza Magufuli kufanya nini au kachukua uamuzi gani kuhusu hili saga usouunga mkono utanijibu nini?
Mwehu wewe mshasahau kama PM Sumaye ni kiongozi wa CHADEMA, mgombea urais wa CHADEMA pia anaoneka kwenye picha hotelini siku mkataba wa Buzwagi ukisainiwa..wao kwenu ni safi sana enh? sijui mtazificha wapi sura zenu siku si nyingi.
Tapata dakika 10 sasa zimepita, watu wameshuhudiwa wakitoka nje ya majengo na kukimbia huku na kule wakihofia dhahama.
Sijaona Madhara yoyote yaliyosababishwa na tetemeko hilo kwa hapa nilipo sijui labda wenye taarifa tofauti watujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.