Wewe huna dhambi yoyote, mtoto mtafahamiana mbele kwa mbele, fanya mambo mengine kaka, maisha ni zaidi ya haya uliyoandika.
Umewekwa kwenye kamati na haujui kamati ina lengo gani, wewe cha kufanya endelea kuishi kama hakijatokea kitu, mtoto siku zote atamtafuta baba yake, hata afichwe vipi...
Yote kwa yote masikini wenzangu tuache uvivu tupambane, kama tunapambana na hatupati basi tuongeze juhudi na maarifa na kuendelea kupambana zaidi.
Uvivu upo, na mara nyingi hatuna focus tunawajibika sana hasa kwa kujaribu kila kitu hatuwezi kukomaa na jambo moja, malengo yetu huwa hayazidi...
Vyama vingi kwa nchi nyingi za Afrika ni kama tumekurupuka tu, mapokeo yake ni tofauti na inavyopaswa kuwa, kwetu imekuwa ni sehemu ya kujipatia pesa za ruzuku lakini sio kwaajili ya kuleta changamoto kwenye chaguzi zetu, ndio maana huwa ni ngumu kukiondoa chama tawala kilichojiwekea mizizi...
Azam wanajitahidi kuonesha matangazo ya mpira lakini wanazingua kwenye baadhi ya mambo, wanapeleka kamera chache viwanjani, kama mtu unafuatilia matangazo ya mpira Mapinduzi Cup utakuwa umeshapata kero hii, kuna upande mpira ukiwa unachezwa unaona vivuli tu, hakuna raha ya kuangalia unatamani...
My computer has a lot of duplicate files that it is hard to physically delete them, is there any free software to automatically delete the repeated files and remain with one?
nina flash ya GB 64, yenyewe nikijaribu kuformat inaonesha ina MB 8, hata kwenye disk management pia inaonesha ina MB 8, je kuna njia yoyote ya kutatua hii?
Huwezi amini huku nilipo ili kufika kwa mtendaji uwekewe saini, lazima upande pikipiki kwa shilingi elfu 2. Though fomu unaipata stationery kwa mia mbili, huku mwenyekiti au mtendaji hajawahi kuwa na fomu na cha kushangaza hana ubia na stationery
Sent using Jamii Forums mobile app
Fomu za NIDA hazilipiwi ila mostly kwenye maeneo mengi hupatikana ofisi za NIDA hivyo kutokana na usumbufu wa kwenda NIDA kwa nauli na kurudi kwaajili ya fomu hizo kujazwa, wamiliki wa stationery wamechukulia hiyo kama fursa ya kujiingizia kipato. Form ya NIDA inapakulika vizuri tu kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.